anahisi mumewe atatumia nafasi hiyo kuchepuka.mama mkwe jamani kama mwanaume yupo comfortable basi vumilia tu
Mkuu mambo vipi/ kesho uta kua wapi? nimekumiss sana. Kesho inabidi tukacheze datsyaani hayo ni maajabu kwakweli.........
usikute hata wameshamtafutia mwanamke mwingine na wanampango amuache huyu wamuozeshe huyo mwingine........
usione binadamu anakuchekea, wakati mwingine inakuwa usoni tu ila moyoni ni majanga.
Hili neno.Mmmh........hapo pagumu. Aongee na mumewe watafute nyumba yenye vyumba kama vitatu hivi ili kuweza ku-accomodate wageni kama hao.
Mmmh........hapo pagumu. Aongee na mumewe watafute nyumba yenye vyumba kama vitatu hivi ili kuweza ku-accomodate wageni kama hao.
Ushauri wangu ni ajaribu kushirikisha wazee waliomzidi umri ili wamwambie aondoke na ni tabia gani hiyo..ila ipo sana amekomaa hapo na anaona chumba ndio hicho hicho..tabia mbaya sana hiyo..
subiria wenye ghorofa basi, nyie ndio mnaopelekea baadae wazaz wenu watoto ambao hawana baba after kuchagua sana mwisho wa siku 35yrs uko kwenu na mwanao mnagombea maandazi wote na kwenda chooni.
kwetu pazuri
huyo mama atakuwa muyao, mmakuwa au mmakonde
namshauri huyo mume asimwambie chochote mama mkwe wake, ila wakati wa kwenda kuoga avue nguo zote na apite mbele yake akiwa kama amezaliwa, afanye hivyo kila siku bila kuongea chochote wala kumkasirikia mtu then atapata matokeo mazuri tu
...I see, nimeshangaa hadi mdomo umebaki wazi!! Mnatamani mama zetu wawe six feet under kisa hamtaki kero zao? Oooh my goodness, wasingekuwa hao mama zetu tungeonana? Kweli baadhi ya wanawake ni vitumbua.
Pagumu sana hapo,dah vitu vingine bhana mtu unajishtukia mwenyewe,ina maana huyo maana hata hajishtukii!