Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
Kula acha ujinga, kwani mna uhusiano gani? next time dont post this kind of thread bcoz is just OPEN AND CLOSE CASE. We are here to discuss difficult matters and not such soft stuffs which, one could just clear and shut up his moutn. Halooooooo.
We unaonaje?
Bakhti ya mtende hiyo usiilazie damu. Ichangamkie kisayansi
We kweli shetani lile number one kabisa kwa hiyo nimsaliti mke wangu?
Duh ngoja nifanye fasta nile hahahahaha wasije mafataki wakaimendea...
Mie nilidhani ni mama wa mkeo kumbe ni rafiki!!!we jilie tu mpka tigo ni ruska!!!
duh hapa nime -friz,lakini nilitaka sema hivyo,maria eeeeeh:hungry:Mie nilidhani ni mama wa mkeo kumbe ni rafiki!!!we jilie tu mpka tigo ni ruska!!!
kama yuko umri sawa na mama yako...which i think she is,achana naye...
Mie nilidhani ni mama wa mkeo kumbe ni rafiki!!!we jilie tu mpka tigo ni ruska!!!
tabu yenu mnakaa JF kuomba ushauri kabla ya kumega.unatakiwa uje hapa utoe hoja km ya mama mkwe nyembamba nyeusi,imenona imekonda,inapumua haipumui,inatoa maji haitoi.tigo je unakula?hizi hadithi zenu za kukimbia mbunye za shule ya msingi,kula kwanza maswali baadae.mwenzio k.ndoni pale nilikua namtembelea kila anayegusa kitasa cha mlango.awe baba au mama au mjukuu.