Mama mkwe ananinengulia je ni mtego au?

Mama mkwe ananinengulia je ni mtego au?

We mtu mzima huyo mashine ishapigwa na kuwa bokoboko fataki gani atammendea, nenda tu katafute laana basi, mafataki hawana mpango na hivyo vikongwe. Ukienda huko ukirudi uje utuambie umekuta mashine inavutika kwa sentimita ngapi na pia ukumbuke kubeba ndoo ya kupunguzia maji! Rubish!

mbona thanks ulizotoa nyingi kuliko ulizopewa...no wonder hata ushauri wako mbovu....
 
Chondechonde, nipatie namba yake nikusaidie ili asije akakunjia ndoa, pole sana nipo tayari kukusaidia mpwa, nimeshawasaidia wengi! namba yangu si unaikumbuka? haya fasta basi!
 
Chondechonde, nipatie namba yake nikusaidie ili asije akakunjia ndoa, pole sana nipo tayari kukusaidia mpwa, nimeshawasaidia wengi! namba yangu si unaikumbuka? haya fasta basi!

Mpwa soo nimemdadavua tayari, nilipowapa yalojiri naona kila mtu hapa kaja juu mpaka siredi imefutwa...
 
Back
Top Bottom