Mama mkwe ananinengulia je ni mtego au?

She isn't............namega kisela tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Labda kama huyo rafiki yako alioa underage..!ukweli nahisi hawapishani na mama yako mzazi...na kwa nini ufanye hayo?mkeo hakutoshelezi?
 
huu ushauri ni funga kazi
 
eti unampenda mkeo,r u sure?
ungekua unampenda wala usingekuja kuuliza ule tunda au usile!
wanaopenda wako zao wanajua hawawezi kula tunda jengine zaidi ya la wake zao.
 
Hawa wenye ndoa sijui huwa wanatufunza nini sisi Unamke unataka mamamkwe tena.....Vipi house Gal wako na mashemeji zako?
eti unampenda mkeo,r u sure?
ungekua unampenda wala usingekuja kuuliza ule tunda au usile!
wanaopenda wako zao wanajua hawawezi kula tunda jengine zaidi ya la wake zao.
 
"I heard the bells on Christmas Day;their old familiar carols play,and wild and sweet the word repeat of peace on earth,good-will to men!":flypig::flock:
uporoto01

e bana hii signature yako ,kuna hiyoo ninii hapo mwisho inamwingilia mwenzie malaika kinyumenyume bana change hiyo tuendelee na tupiki..
 


Acha Kitu kile kitu mtu wangu...life goes on
 

halafu Bk ntakuadhibu kwa kumuwazia malaika wangu vibaya,malaika hawana mambo hayo unayoyadhania,na kondoo hawana ushapu huo,yaani hata sikudhani mngefikia huku,haya naitoa.
 

Usije kujaribu kufanya kosa kama hilo. Nadhan kwanza utakosona rafiki yako, nasema hivi kwa kuwa sijui mna ukaribu gani na huyo rafiki yako. Unadhan akigundua umefanya hicho kitu hata mwambia mkeo? hata kama sio directly anaweza pia akatumia watu wakamwambia mkeo. Na je mke wa rafiki yako(shemejio) atakuchuliaje? Mbali na hilo rafiki yako atakosa imani nawe kabisa na kuhoji ikiwa umeweza kutembea na mama mkwe wake it's very possible pia ukaweza kutembea na mkewe. Please kuna vitu/kesi zingine zinaweza kuepukika kabisa na kuacha kusema ulipitiwa na shetani! Anyway ni ushauri wa bure, as you know there's no free lunch! That's 2 say, "there's a price to pay" baada ya hicho unachotaka kufanya nayo ni MAJUTO. Ningejua nisingefuata baadhi ya ushauri uliopewa na baadhi ya wana JF walio tangulia kukupa ushauri. Ila kama umewahi kusoma Physics kuna Newton's third law of Motion wich states that"For every action, there is an equal and opposite reaction" Hii ina apply katika maisha yetu hata kama hujawahi kusoma Physics.Kila la kheri kaka.
 


Kama hukuoa kwa shinikizo la wazazi ulifuata mkumbo ili na wewe uonekane umeoa, unadiriki kusema unampenda mkeo huku unaomba ushauri wa kufanya UPUMBAVU, Nilitegemea ungepost huu ujinga kwa minajili ya kukemea hiyo tabia, badala yake......................

JARIBU KUSHIRIKISHA AT LEAST SEHEMU YA UBONGO WAKO, USIONE SIFA KUTOKA NJE YA NDOA UNLESS ULILAZIMISHWA KUOA.
 
Mie sijakuelewa maana majibu unayatoa kwamba unataka uone ya huyo mama ikoje then unakuja kutuliza nini hapa???
 
Mama Mkwe wa rafiki yako siyo Mama mkwe wako - she is just like any "hooker" around!
 
Usimsaliti mkeo kakaangu, unapouliza umle au ufanyeje unamaanisha huwezi jizuia mwenyewe, kumla si shida lakini umsaliti mkeo kwa jimama, je na mkeo akitembea na baba mkwe wa rafkiako ukajua utamsamehe, so stop hata kuwaza hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…