Usimsaliti mkeo kakaangu, unapouliza umle au ufanyeje unamaanisha huwezi jizuia mwenyewe, kumla si shida lakini umsaliti mkeo kwa jimama, je na mkeo akitembea na baba mkwe wa rafkiako ukajua utamsamehe, so stop hata kuwaza hivyo.
Kua uyaone jamani...mama mkwe wa rafiki yangu ambaye pia namuita mama Mkwe kila siku ananinengulia jamani, mara ananikaribisha kwa maongezi na anajua kabisa mie na mke na sijawahi msikia akimsifia mke wangu hata siku moja, ni bado kijana tu na analipa kweli lkn je nimege hili tunda? mie naona kama mtego maana anajua kabisa nampenda mke wangu na akisikia watu wanaongelea mimi na wife anakaa kimya au anaondoka...huyu anataka balaa au sio jamani??
mwanamke hutakiwi kuwa mtu wa visasi mamushka!!!!
Mie nilidhani ni mama wa mkeo kumbe ni rafiki!!!we jilie tu mpka tigo ni ruska!!!
Kama amepunguza heshima na upendo kwa mkewe achukue huu ushauri wa MRMie nilidhani ni mama wa mkeo kumbe ni rafiki!!!we jilie tu mpka tigo ni ruska!!!
AMA KWELI MAADILI HAKUNA KABISA; MMESAHAU KABISA HATA KAMA KUNA GONJWA HATARI LA UKIMWI!!!!!!!!!!!!!.....MTOTO WA WATU UMEMUOA ILI UMPELEKEE UKIMWI!!!!!!!!!!! HATA WOGA TU HAMNA!!!!!!!!!! MMEKUWA MAHARAGE YA MBEYA MAJI MARA MOJA??????????? SISI AMBAO HATUJAOA MNATUFUNDISHA NINI??????????????????????:crazy::crazy::crazy::crazy::crazy::crazy::crazy:
Ni kweli wala hatakiwi kuwa mchoyo:A S-alert1:
QUOTE=Magulumangu;Duh ngoja nifanye fasta nile hahahahaha wasije mafataki wakaimendea...
Huogopi tena kuisaliti ndoa yako? Kumbuka what comes around,goes around and vice versa. Ivyo kuna baba mkwe nae anamlia mingo mkeo. Na mkeo yuko kwny dilema ka yako.
Mwenzetu unabahati, mbona siye zinatupita kando hizi za chapchap? duh:A S-alert1:
AMA KWELI MAADILI HAKUNA KABISA; MMESAHAU KABISA HATA KAMA KUNA GONJWA HATARI LA UKIMWI!!!!!!!!!!!!!.....MTOTO WA WATU UMEMUOA ILI UMPELEKEE UKIMWI!!!!!!!!!!! HATA WOGA TU HAMNA!!!!!!!!!! MMEKUWA MAHARAGE YA MBEYA MAJI MARA MOJA??????????? SISI AMBAO HATUJAOA MNATUFUNDISHA NINI??????????????????????:crazy::crazy::crazy::crazy::crazy::crazy::crazy:
kula haraka kwa kwenda mbele
Labda kama huyo rafiki yako alioa underage..!ukweli nahisi hawapishani na mama yako mzazi...na kwa nini ufanye hayo?mkeo hakutoshelezi?
ulikuja na nimekutana na x wangu wife amenuna, sasa unakuja na hili tena, that is why mkeo hakuamini
Ni bora amuache tu maana nisawa na kula mama yake
eti unampenda mkeo,r u sure?
ungekua unampenda wala usingekuja kuuliza ule tunda au usile!
wanaopenda wako zao wanajua hawawezi kula tunda jengine zaidi ya la wake zao.
Hawa wenye ndoa sijui huwa wanatufunza nini sisi Unamke unataka mamamkwe tena.....Vipi house Gal wako na mashemeji zako?