Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Umedate na wangapi?
Ukute hata wa5 hawafiki ila mnakuja waingiza wachagga wote kwenye hizo tabia .

This is not fair.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mbona povu Sana, that's how I see it and that's my experience,mambo ya Umedate na wangap na it's not fair so what. Usiforce tufanane kama we unaamin otherwise it's all good too. It's the truth of your reality so sio issue Sana.
 
Pole ,mchaga mwenzangu
 
Pole sana dada angu jipe moyo utashinda
Ila sisi wamakua tuna maumivu makubwa na wachaga Tena makubwaaaaaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
As long as jamaa hatajatetereka, endeleeni na mchakato wenu, lakini kamwe usije kuonesha chuki ya waziwazi kwa mamako mkwe.
 
Mbona povu Sana, that's how I see it and that's my experience,mambo ya Umedate na wangap na it's not fair so what. Usiforce tufanane kama we unaamin otherwise it's all good too. It's the truth of your reality so sio issue Sana.
Aisee,hilo swali wewe umeliona povu?
Ungelijibu tu boss.

Pengine uliangukia kwa wachaga wasumbufu lakini sidhani kama wachaga wote ni wasumbufu.
 
Mimi mtoto wangu akisema tu anamchumba mchaga na ataitaj kumuona tamkubalia ila lazima nimtoe kwenye usimamiz wa Mali zangu zote mana wachaga nawajua
 
Dada..hebu achana na huyo mwanaume. Utachukiwa na ukoo mzima na hutakuwa na furaha. Usiingie kwenye ndoa kama wazazi wa mwanaume wamekukataa.
Lkn maamuzi ni yako..
 
Sepa wewe...unajitafutia matatizo
 
Ni afadhali kupata aibu ya mara moja kuliko maisha unayotaka kwenda kuishi. Waelekeze wazazi wako hali halisi wakushauri.
Kumbuka ndoa ni yako si ya mtu mwingine.
.
.
Ingekuwa mimi ni wewe ningekubali matokeo. Jiamini.. utapata mume mwingine na utajishangaa kwanini ulikuwa ukimng'ang'ania huyu mtoto wa mama
 
Kama mama mkwe akupendi usiolewe hutakaa kwa Amani kwenye iyo ndoa subiri kwanza na uwaambie wazazi wako ukweli watakua Cha kufanya Tena usije kubeba mimba ukadhani mwanaume ndo hatokuacha mwanzoni mwanaume atakua benet na wewe ila itafika mahali atakua upande wa mamaake tu lazima mama na mtoto wana bond
 
Pole sana dada , Kama anayekukataa ni mtu mmoja ( mama) ,mi nafikiri sio sana , Kama ingekuwa familia nzima hapo ndio ingekuwa tatizo , kwa hiyo olewa Tu bibie, kila la heri
 

Mimi ni mmoja wa mashabiki wako hapa jf wewe Heaven Sent! Napenda sana uandishi wako na maoni yako kwenye mijadala serious kama hii!

Unajua kunaweza kukawa na utofauti mkubwa sana wa kitu mtu anacho andika humu na anacho kiishi lakini trust me wewe ni mmoja ya watu ambao mimi hutafuta maoni yao kwenye mijadala serious kama hii na huwa naishia kuunga mkono tuu kwakweli kwakuwa huwa una maliza kila kitu!

Umemsaidia sana huyu dada kama atakuwa serious kukusoma
Wengi hapa watamdanganya mapenzi ni ya wawili lakini wewe umemwambia ukweli mchungu sana ni lazima aujue lakini baadae atashukuru!

Kama huyo binti hatokuelewa kwenye uliyo yaandika basi......

Ubarikiwe sana...
 
Bora umejua mapema na huyu mkaka aoe kwengine, huyo mama angekusumbua sana kwenye ndoa yako na inavyonekana huyo mwanaume anamsikiliza mama yake zaidi,bora umejua mbichi na mbivu mapema, ndoa yako ingekua ngumu sana

Hakuna mwanaume hapa Tanzania asiyemsikiliza Mama yake hayupo hYupo hayupo
 
Wow, this means a lot to me. [emoji120][emoji120][emoji120]

Ujue bana mama mkwe akishaweka kimgomo; bila neema ya Mungu hamtoboi. Laini ni mtihani pia kwa kijana, imagine anataka aoe akiwa na baraka za wazazi wake, afu mzazi anagoma kukupa baraka zake hata kishingo upande tu. Utaendelea na ndoa bila wazazi? Mungu atuepushie


 
Hata mimi toka nasoma naanza kujitambua niliambiwa na mama angu mwanangu usije ukaja kuoa mchaga .hii kauli hadi leo mama ananisihi nisioe mchaga juzi tu hapa aliniambia tena...hata mie nimeyaona haya wachaga wanayoambiwa ..hili kabila wengi wapo upande pesa kuliko utu
 
hii kauli wameambiwa wabongo wengi tu, japo wengine indirect ila siku zote usipotaka kuoa kabila fulani iwe kwa kuambiwa au kwa kutokutaka mwenyewe, basi epuka kuingia katika mahusiano nao, wengine walianza kwa lengo la kutafuna tu( kama jinsi tunavyoishi mjini) ila wakajikuta wananogewa na hatimae wakaoa. . . usithubutu kudate na mtu kwa minajili ya kuonja tu, watu hutofautiana sana
 
Hili kabila kuna watu walifanya matatizo na kuwapa sifa vizazi vyao kwa kweli demu wa kichaga hata wachaga wenyewe baadhi wanatengana hawapendani wanaangalia huyu anatokea wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…