Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Miss Chuga mdogo angu;
1. Ni wanaume wachache sana ambao wanaweza wakaamua kwenda kinyume na wazazi wao, especially mama zao. Wanawake tukipenda huwa tunaforce kivyovyote huko nyumbani hadi mchumba atakubaliwa, wakibisha sana tunabeba mimba au tunahamia kwa mwanaume bila ndoa, maisha

Anahitaji ushauri

Thread 'Ndoa inaelekea kunishinda' Ndoa inaelekea kunishinda
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.
Wadada wa kichaga mna mambo ya ovyo sana ,mama mkwe yuko shihi,mi pia mzee wangu aliniambia nisioe mchaga nikabisha kilichofuata ni kilio
 
Wachaaga wanawezana wenyewe wao weyewe wanabaguana wa sehemu na sehemu hawaoani ovyo kuna sijui wa mkuu, sijui wapi wap uko
 
Hata mm sipo tayari kuoa mchaga na mwanangu hawezi kuoa mchaga kwa sababu baba yangu mdogo alionywa kuhusu kuoa mchaga hakusikia. Baada ya muda alipata safari ya kwenda Marekani kimasomo na baada ya kuhitimu alifanya kazi miaka miwili hela anatuma huku. Baada ya miaka miwili alipata likizo akaja kuona familia na hela aliyotuma aliagiza ijenge nyumba ya kuishi wao. Alipofika alikuta nyumba ya vyumba viwili tofauti na hela aliyotuma. Kosa lake lilikuwa kuhoji matumizi ya hela iliyobaki. Alipewa sumu. Kumbe yule mwanamke alijenga nyumba ya maana kijijini kwa wazazi wake. Alikufa kifo kibaya sana na ndoto zake za kuwa na familia bora ziliishia hapo. So siwezi kubet eti sijui mmarangu wala mkibosho. Mchaga kwetu noo.
 
Habari zenu wapendwa?

Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba.

Baada ya hapo wakualiana na wazazi harusi iwe mwezi wa 4 mwaka huu Ila baada ya muda mama yake akamwambia naomba harusi mfanye mwezi wa 7 nataka nijipange sherehe iwe kubwa tukamkubalia kupeleka hadi wa 7 Ila Cha kushangaza juzi kipindi wamekaa kwenye kikao Cha kuandaa kamati ya harusi mama mtu akasema harusi isogezwe tena iwe mwezi wa 10

Baada ya mwanae kumbana mama yake kuwa kwanini kila cku unapeleka mbele akamwambia sitaki uowe mwanamke wa kichaga ndomana nafanya hivi, kiukweli mwanae alichukia sana kuskia hiyo kauli akanipa mrejesho kuwa mama yake hataki anioe kisa mimi mchaga Ila kwakuwa nakupenda tumeshirikiana mambo mengi siwezi kukuacha tutafunga ndoa mwezi wa 8 bila hata ndugu zake kuwepo atasimamia shoo mwenyewe bila msaada wa ndugu zake nikamwitikia sawa.

Ila hapa nawaza usikute huu uamuzi ameuchukua sababu ya hasira nahisi Kama akitulia atanibadilikia asikilize ndugu zake aniache na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nimetoka naye mbali kanipotezea muda na hivi kapeleka hadi mahari kwetu watu wanasubiri harusi.

Kama akinibadilikia sijui hii aibu tutaibebaje na familia yangu, nimechanganyikiwa mpaka nawaza sijui nimbebe tu mimba ili azidi kuwa na msimamo aogope kupoteza mke na mtoto!

Ila nakosa jibu huyu mama simuelewi kwanini ananifanyia hivi Kama alikuwa hataki niolewe na mwanae kwanini hakumzuia kipindi anapeleka mahari wakamsapoti apeleke, kinachoniumiza ni aibu kwetu mahari imeenda alafu ikitokea tukiachana kisa mama yake aibu itakuwa kubwa Bora hata angekuwa hajapeleka mahari.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyaje kulishinda hili jaribu lililopo mbele yangu, Ndugu zangu Bado sijawambia Kama Kuna huu mgogoro maana hata sijui watalipokeaje nachanganyikiwa Mimi jamani
Miss Chuga, wachaga ni wazuri na wanajua kupenda.
Tatizo ni mila kuanzia miaka ya kati hadi uzeeni.
Mwanaume asiye mchaga kuishi zaidi ya hapo kwa mali mlizochuma ni shida.
Fanya utafiti, na utaona.
Ndio maana wale wa kulee, wakaitwa wapalestina.
 
Kusema kweli mikoa ya Mbeya na Iringa kwenu ukisema unaoa uchagani hakuna anayekuelewa.....sijui wachaga waliwafanya nini wazee wetu, nimeishi mikoa yote, wazee wengi wamewasusia watoto wao Proposal za kuoa uchagani
Miaka ya 70, mzee mmoja maarufu sana hapa DSM, alipata mchepuko ambao ukawa nyumba ndogo, mpalestina( bibi wa kichaga toka Machame).
Huyo mzee aliitwa Simkoko , na alikuwa tajiri sana.
Kwao Mbozi Mbeya.
Toka miaka ya 60 mzee huyu alikuwa na Club za starehe (Mnazi Mmoja Gate Ways Night Club) na biashara kubwa.
Miaka hiyo yeye gari yake ya kutembelea ilikuwa Benzi.

Sasa sijui alikorofishana nini na bi mdogo, lakini ilikuwa mambo ya mali kugawana.Bi mdigo alisha hodhi mali nyingi.
Huyo mzee akaishia kuuwawa kwenye treni ya Tazara, akielekea Mbeya.
Hii stori ilisambaa miaka na miaka, na mama zetu walikuja sema suuu...! Nikuone na girlfriend wa kichaga.
 
Hii notion bado ipo saana ila wanawake wa kichaga hawako hivyo tena

Nafikiri waliponzwa na wamama wachache wa kichaga waliokuwa na tamaa ya mali.
tatizo wachaga wanamambo ya ajabu sana angalia hata post zao kwenye nyuzi mbalimbali humu jf zimekaa kikabila sana hafu wanatamaa sana na mali hawa viumbe.
 
Kama Ni mpalestina haufai kwel ata huku uchagani kwingne ukitambulisha mpalestina mama anapiga yowe
 
Hata mm sipo tayari kuoa mchaga na mwanangu hawezi kuoa mchaga kwa sababu baba yangu mdogo alionywa kuhusu kuoa mchaga hakusikia. Baada ya muda alipata safari ya kwenda Marekani kimasomo na baada ya kuhitimu alifanya kazi miaka miwili hela anatuma huku. Baada ya miaka miwili alipata likizo akaja kuona familia na hela aliyotuma aliagiza ijenge nyumba ya kuishi wao. Alipofika alikuta nyumba ya vyumba viwili tofauti na hela aliyotuma. Kosa lake lilikuwa kuhoji matumizi ya hela iliyobaki. Alipewa sumu. Kumbe yule mwanamke alijenga nyumba ya maana kijijini kwa wazazi wake. Alikufa kifo kibaya sana na ndoto zake za kuwa na familia bora ziliishia hapo. So siwezi kubet eti sijui mmarangu wala mkibosho. Mchaga kwetu noo.
Hawana ethics za kijamii wapewe elimu mi labda mchaga ambaye hajakulia sehemu tofauti ya Kilimanjaro na arusha

Maana atakuwa na ustaarabu fulani
 
Miaka ya 70, mzee mmoja maarufu sana hapa DSM, alipata mchepuko ambao ukawa nyumba ndogo, mpalestina( bibi wa kichaga toka Machame).
Huyo mzee aliitwa Simkoko , na alikuwa tajiri sana.
Kwao Mbozi Mbeya.
Toka miaka ya 60 mzee huyu alikuwa na Club za starehe (Mnazi Mmoja Gate Ways Night Club) na biashara kubwa.
Miaka hiyo yeye gari yake ya kutembelea ilikuwa Benzi.

Sasa sijui alikorofishana nini na bi mdogo, lakini ilikuwa mambo ya mali kugawana.Bi mdigo alisha hodhi mali nyingi.
Huyo mzee akaishia kuuwawa kwenye treni ya Tazara, akielekea Mbeya.
Hii stori ilisambaa miaka na miaka, na mama zetu walikuja sema suuu...! Nikuone na girlfriend wa kichaga.
Pia miaka ya 2000's Kuna Dr mkuu wa hospital moja Mbeya,Sasa Songwe (siitaji) mkewe mchaga alihamisha fenicha zote ndani na kupeleka kwenye nyumba aliyojenga Kwa siri Arusha,yeye mwenyewe akaenda kuripoti Police kwamba kaibiwa kwake........ police wakaanzisha operation,gari iliyopakia ikakamatwa,wale waliokodiwa wakashangaa maana walikuwa wanasafiri na mwanae kusimdikiza mzigo.....
 
Back
Top Bottom