Unajua watoto wa kike muanze kujifunza kuwa serious na ndoa!
Wewe kuwa mpambanaji na kupambana kwaajiri ya familia yako vinahusiana vipi na ndoa yako na mumeo?!
Haya matabia ndio yanawafanya kuonekana tatizo. Wewe jamii zingine mbona hawasemwi. Unadhani kwamba ni kwa sababu ninyi ndio wazuri sana....?!
Mnawaharibia wadogo zenu wanaonekana nao ni tatizo kumbe ni hiki kizazi cha 1980's ndio mna mawenge ya ajabu ajabu.
Sasa unakazana kusema hapa sijui hamuachi familia zenu kwahiyo unamuona Mwenzako ni mpumbavu kuwekeza jitihada zake kujenga familia yenu ila wewe unatoa kinachotafutwa unapeleka kwa wazazi wako, kama sio kutafuta laaana za ndoa na ukoo ni nini sasa hapo?!
Endeleeni na hayo matabia...... Ipo siku. Wadada wa kimachame nao walianza hivi hivi, kidogo kidogo kutaka kujifanya wanambinu za kimafia katika kuchuma mali katika ndoa. Leo kila mtu hata jamii ya wachagga wanawaogopa.
Ukikutana na mabinti wa kimachame wa kisasa utaona shida wanayopitia. Anaweza kuwa mrembo ila kila Mwanaume inapofika swala la kuoa akisikia ni m'machame hapo hapo ndoa inapigwa stop.
Sasa hii kitu itawageukia mkiendelee na haya matabia..... Haitakuwa mchagga wa rombo, sijui marangu sijui wapi, wote mtakuwa ni tatizo na mtageuzwa tu kuwa incubator za kuzaa watoto na sex toys.....
Sent using
Jamii Forums mobile app