pole sana kaka kwa kutotaka kufanya upelelezi kabla ya mapenzi kamili, najua ulikula ukanogewa sana , sidhani kama kuwa haukuwai kudokezwa juu ya sakata hili. Kwa mtindo huu wa kutopeleleza hata ngoma inaweza kukukumba je ungekuta mme kafa kwa ngoma?
Wanawake wengi wana siri nyingi, ndio maana wanaume wengi akitangulia kufa mama wanashukru sana kwa kujiaminisha kuwa niwazaliwa kamili wa pale, kwa kuwa mama anaweza kubadili mawazo na kusema kuwa huy siye Baba yako babayako ni fulani.
Na ukikumbuka kuwa huyu ambaye siyo babayako wa damu amekulea amekugharimikia sana, jifunze kupeleleza mambo ya muhimu kuhusu maisha yako ya baadaye