Ako Kwaang
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 324
- 259
Ndo anachokitaka, maswali gani hayo anamuuliza mkwe wake!!Huyo mama anataka kukufundisha kazi. Sasa akikujibu tena mwambie, mama inawezekana kuna mahali nakosea, basi naomba tukutane gest fulani uje unipe maelekezo ili nikirudi kwangu shughui iwe rahisi tu...
so issue ni mke kusema kwao,ila akisema kwa mwanaume sawa!Ushauri wangu; muonye mkeo aache kujadili mambo yenu ya ndani na wazazi/familia yake ya zamani. Ana ishu yoyote inayowahusu, basi aipeleke nyumbani kwenu kwa kwa mama/shangazi/mama yako mdogo. Wataanza na vitu vidogo kama ujauzito baadae utapangiwa na mama mkwe siku za kumdandia mkeo, umlishe vyakula gani, avae nini, umpikie, umfulie nguo za ndani, mkikoromeana we ndo una matatizo!!! Wanaanzaga mdogo mdogo, na jinsi unavyodeal na hili suala, lazima hayo niliyoyataja yakupate tu, huna namna tena!!! Shauri yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke akishaolewa mambo yoote yanayomshinda ya ndani, narudia tena, yaliyomshinda ya ndani anashtakia ukweni. Otherwise hiyo ndoa inavunjika wakati inafungwa. A man will always be a man, regardless of education or social status.so issue ni mke kusema kwao,ila akisema kwa mwanaume sawa!
AND U CALL URSELF A MAN!
yuuuuuuck
Ebana eeh, hiyo inaitwa kuingilia faragha. Na ulisema umeoa miezi miwili tu iliyopita.
Mwambie mwanae au muombe papuchiYan ananipa wakat mgumu sana
An ant on the move does more than a dozing ox.
Alishatangulia mbele ya haki. Na kwa bahat mbaya mamkwe aligombana na upande wa bamkwe hivo hakuna mawasiliano kabisa hata kwenye harusi hapakua na upande wa babaBABA MKWE yupo hai?
Nakuelewa sana.Mwanamke akishaolewa mambo yoote yanayomshinda ya ndani, narudia tena, yaliyomshinda ya ndani anashtakia ukweni. Otherwise hiyo ndoa inavunjika wakati inafungwa. A man will always be a man, regardless of education or social status.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap! Huenda umefunga ndoa na mwanamke ambaye tayari ana ujauzito wa mwanaume mwingine, hebu kuwa makini kwepa kufanya nae tendo la ndoa akiwa kwenye siku za hatari, subiri ipite kama miezi minne hivi ili hata kama atakuwa na ujauzito utaonekana vizuri tena unampeleka hospital kabisa ili ujue ni wa miezi mingapi kisha fanya calculationinaezekana ana ujauzito wa mwwanaume mwingine yan kabla sijamuoa au?? hebu fafanua mkuu
EDUCATION NA SOCIAL STATUS VIMETOKEA WAPI?Mwanamke akishaolewa mambo yoote yanayomshinda ya ndani, narudia tena, yaliyomshinda ya ndani anashtakia ukweni. Otherwise hiyo ndoa inavunjika wakati inafungwa. A man will always be a man, regardless of education or social status.
Sent using Jamii Forums mobile app
ANAMMISS MUMEWE!Alishatangulia mbele ya haki. Na kwa bahat mbaya mamkwe aligombana na upande wa bamkwe hivo hakuna mawasiliano kabisa hata kwenye harusi hapakua na upande wa baba
An ant on the move does more than a dozing ox.
NA KUHUSU KUSHINDWA MAMBO YA NDANI!kupelekwa ukweniMwanamke akishaolewa mambo yoote yanayomshinda ya ndani, narudia tena, yaliyomshinda ya ndani anashtakia ukweni. Otherwise hiyo ndoa inavunjika wakati inafungwa. A man will always be a man, regardless of education or social status.
Sent using Jamii Forums mobile app
Are you married?EDUCATION NA SOCIAL STATUS VIMETOKEA WAPI?
and who said a man will be a dog?
WATU MKIWA NA MAMITAZAMO DUNI DHIDI YENU WENYEWE MNA WAZA KILA MTU ANAWATAZAMA HIVO!
wapi nimeongea kuhusu jinsia na nafasi ya kijamii ya mwanaume au kielimu?
HEBU KAA VIZUR KAKA!
14 YRS NOW
but look here!
Uzoefu ndo kila kitu.S
but look here!
NANI ALIKWAMBIA WALIOOA TU NDIO WANAWEZA KUKUPA MAJIBU AU USHAURI SAHIHI JUU YA NDOA!
TOKA KWENYE HILO BOXI LA MTAZAMO!