Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

Mama mkwe katuma tena SMS. This time nimemjibu, ebo!

Nimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.

Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...

"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".

Mie nimemjibu....

"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"

Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?
Hahahahahaaa ushaharibu, huyo alitakiwa akikutumia hivyo we mjibu kwa verse za kitabu cha dini tu, na usisubiri akutumie ndio ujibu, we mpe tu mistari ya dini mpaka atakaa sawa
 
Mkeo anamwambiaga mamake siri zenu ikiwepo ulivyo chini ya kiwango kummchikichia, wasiwas wao ni kua mkeo anataka mtoto bt unaonekana hauko imara, pole sana
 
Nimekubali maneno yenu wanajamvi juzi nlipoleta uzi ulohusu Meseji ya G9t alontumia mamkwe akinisisitiza kwamba mimi na mke wangu "tujitahidi ili usingizi wetu uzae matunda", wengi wenu mlisema kwamba mama huyu ni "mswahili" na anaingilia faragha yetu. Sema ukweli sikumjibu ile meseji. Jana kaja kivingine.

Jana usku majira ya saa5 kanishushia 'jiwe lingine' tena kantumia kwa njia ya Whatsapp. Anasema...

"Bwn Asifiwe. Sisi wazima. Najua uliiona meseji yangu ya juzi japo haukuijibu. Ninachokusihi mwanangu ni kwamba uongeze pilika basi ili ujenge mji wako ungali bado kijana. Usijisikie vibaya. Nasema hivo kwakua enzi zimebadilika, na ya Mungu mengi".

Mie nimemjibu....

"Asante mama. Pole sikujibu meseji yako kwakua nilijua jibu la kweli ni ujauzito. Tuvute subira. Asante, usiku mwema mama yetu"

Bado hajasema chochote. Vp, nipo sawa wakuu, ama!?
Duuh
 
Kama sio mshwahili basi labda mchawi na anataka akatoe kafara katoto kenu( natania)

Ila mkuu nawe kwa upande wako umekuwa mzito sana... Ukimkosa kwenye fungate hakikisha danger inayofuata hatoki...
 
Back
Top Bottom