Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu wana hasira, nilishadate mkurya kuna siku tulizinguana sana lakin baadae tukayamaliza na furaha ikarejea, zikapita siku kadhaa nipo nimekaa mchana kweupe yeye akiwa anaandaa chakula ghafla nashangaa mtu huyo na kisu kaninyooshea ananitishia, nikamuwahi mkono nikamnyang'anya akaanza kulia kwa hasira na kueleza bado ana hasira yale yaliyotokea hayajaisha. Nilibaki nashangaa ni hasira gani hizo mtu anazifuga na tayari tulishayamaliza.Shida ya hili kabila huwa ni ukatili, hata mim mwanamke mkurya siwez kuoa, kwanza ukiwa na mke mkurya, mkipgana ndani halaf ugomvi ukaisha, kaa chonjo muda wote, ukipenda mambo ya kulala lala hawachelewag kukudunga kisu, au kukupasua na shoka! Hawa watu hasira zao haziishagi, hata mkisolve ugomvi, yeye anasolve usoni tu ila moyon kakutunza!
Ulikuwa umeishaHawa watu wana hasira, nilishadate mkurya kuna siku tulizinguana sana lakin baadae tukayamaliza na furaha ikarejea, zikapita siku kadhaa nipo nimekaa mchana kweupe yeye akiwa anaandaa chakula ghafla nashangaa mtu huyo na kisu kaninyooshea ananitishia, nikamuwahi mkono nikamnyang'anya akaanza kulia kwa hasira na kueleza bado ana hasira yale yaliyotokea hayajaisha. Nilibaki nashangaa ni hasira gani hizo mtu anazifuga na tayari tulishayamaliza.
Sasa fikiria ingekuwa nimelala si angenimalizia mbali kabisa.
Ningeisha kweli, yule ke alikuwa mstaarabu ila ana hasira sana, akikwambia kasamehe jua anakuongopea.
Mimi ni Mwanaume 28yrs mkurya nilivyofika Dar nilikutana n'a bint mmoja nikamtongoza akakubali.
Huyu binti (21yrs) ni mgeni Dar from mkoa X nyanda za juu kusini anaishi kwa shangazi yake Dar
Hakuwahi kuniuliza Kabila nahisi alijua mimi ni from dar /pwan
kwasababu Mimi Sina ukabila sikuzingatia sana kwanini haniulizi Kabila langu.
Tuna mahusiano ya miez 11 kwa bahati nzuri alipata ujauzito kwenye uchumba manake sasa in animimba ya miez5 .
Shangazi yake aligundua ana mimbaa ikiwa n'a miez3 wakambana akanitaja.
Kwa sababu nilikua n'a malengo nae nikamwambia relax ntakuja kujitambulisha nitakuoa akakubali.
December nikarudi home kuset Mipango ya washenga na mahari.
December mwishon akanipigia simu anasema mama yake kamuuliza mwenye mimbaa/muoaji ni Kabila gani.
Nikacheka nikamuuliza umejibuje akasema amemwambia mimi ni Kabila X tofauti na mkurya.
Akadakia ghafila akasema ety mama amemwambia huyo Mwanaume /Mimi kama angekua mkurya asingekubalika ukweni
Straight nikajib Mimi ni mkurya pure Ila nmekulia dodoma wazaz mdugu karibu wote wako dodoma
nikachukulia ni masihara Kumbe ni serious nikamwambia mwambie tu ukwelii.
Akampigia simu akaniunganisha akamwambia ukweli mama akanza kufoka kumbe yupo serious anamwambia mara unatamaa, umeokoteza wAnaume Huko huwajui Mimi simtaki kama utamkubal ni Wewe mixer maneno kibao.
Nikamchunguza Bint akaniambia Kuna kaka yao aliwahi pata majanga huko mara miaka ya nyuma may be maana wanakisas.na makasiriko.
Binti ananipenda haswa Mimi pia nampenda
Binti kaniambia Yuko tayari kwa lolote Bora nimuoe hâta kama wakimtemga .
Kama Kuna Kuna namna ya kusolve hili ratizo naomba maelekezo/ushauri
Mimi mkurya nina mke wangu ambaye tulianza mahusiano tukiwa shule 2010 mpaka sasa tuko nae. Sema lingineNiko hapa nimekaa nakupee miaka ngapi?