Mama mkwe mtarajiwa hataki binti yake aolewe na Kabila langu

As long as ushatia mimba, wewe tulia mkuu. Acha waparuane wenyewe huko.

Mwafrika ni mbaguzi kuliko races nyingine nyingi, japo mbele za watu anapenda kuplay victim role.
 
Hawa watu wana hasira, nilishadate mkurya kuna siku tulizinguana sana lakin baadae tukayamaliza na furaha ikarejea, zikapita siku kadhaa nipo nimekaa mchana kweupe yeye akiwa anaandaa chakula ghafla nashangaa mtu huyo na kisu kaninyooshea ananitishia, nikamuwahi mkono nikamnyang'anya akaanza kulia kwa hasira na kueleza bado ana hasira yale yaliyotokea hayajaisha. Nilibaki nashangaa ni hasira gani hizo mtu anazifuga na tayari tulishayamaliza.
Sasa fikiria ingekuwa nimelala si angenimalizia mbali kabisa.
 
Ulikuwa umeisha

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 

Mahusiano ya kupewa ruhusa kama watoto wadogo ni yakijinga na kipuuzi.

Tafuta mwingine
 
Usitishwe na maneno mkuu, kikubwa mmekubaliani wewe na huyo mchumba wako. Ndoa ni ya wawili, watatu hana nafasi.

Na kama ni baraka, Mungu yupo atakusimamia wewe na mkeo mtarajiwa.
 
Kuna mawili kwanza anajua wakurya wanapiga ila pia atakuwa anajua tabia za Binti yake na akiunganisha matukio anaona utamvunja vunja mifupa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…