Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

Haihitaji kufundishwa shuleni, ndoa ni taasisi pekee ya elimu ambapo mtahiniwa anapewa kwanza cheti halafu ndio mitihani inafuata, acheni tu huyu anakoenda ndiko kwenyewe.
 
hebu kabla hujakimbilia kum- quote mtu na kujibu hakikisha umeelewa kwanza alichokiandika,nmemuuliza je kama ingekuwa ndugu zake angejisikiaje??maana kama ni mama yake mzazi angeishi na isingemkera,ila mama mkwe anamkera basi hapa ningemuhesabu kwenye kundi la wenye roho mbaya!!

lakini kama hata ingekuwa mama yake mzazi bado angesema haya basi jamaa anahaki kutokana na hali ya sasa ya maisha,sio wote tunakipato cha kueleweka!!
 
Ni ngumu kumuelewa mswahili, ndio maana sikukuelewa. Kaeni majumbani mwenu jamani na sio walikoolewa dada zenu. Waume zao wanashindwa kupiga show sebuleni eeeeeeeeh!
 
Ukiwa unadate na binti wa kukuletea utitiri wa ndugu utamjua tu mwanzoni. Unamtoa out au mko kwenye maongezi yenu mara simu inalia anaongea anaanza kukutambulisha na kukupa simu sijui msalimie anti/uncle/mama/Dada/kaka/ mdogo wangu, n.k. ukioona hivyo ni dalili tosha huyo manzi chaka!
 
Hebu tuheshimiane mkuu,hunijui sikujui,ukiona kitu hujaelewa basi jua huo ujumbe sio wako,jaribu kusoma ulizoelewa!!
Ni ngumu kumuelewa mswahili, ndio maana sikukuelewa. Kaeni majumbani mwenu jamani na sio walikoolewa dada zenu. Waume zao wanashindwa kupiga show sebuleni eeeeeeeeh!
 
Hii haijalishi ni ndugu wa nani wanazungumziwa hapa, tatizo ni USWAHILI. Unaongea kwa uchungu kwa kuwa hata sasa unaishi kwa shemeji yako eeh? Toka hapo mama nenda kwako, utaharibu ndoa ya dadaako. Tujifunze pia kuzaa kwa mpango
Uchungu una rangi gan?
Kwa bahati mbaya mm ndo wifi,shemeji,mume na dada ss

Jiheshimi uheshimike sio unaongea kama umekatwa kichwa kinatapatapa kabla ya kuzima

Mwanaume yanakutoooka
 
huo upuuzi unaulea tuu....haya mambo ya kusema jamii itanionaje mie sina kabisaaaa....hali ya kiuchumi ni tete sana......hukuoa ukoo...furumusha blaza.....msaada huko huko kijijini utakuja.....wacha waseme wapasuke.....nyumba yangu, nke yangu maisha yangu......hapo wewe anza kurudi late mtungi wa kufa....kimya wala usimsemeshe ntu....jua tuu ndoa yako iko hsptl........daktari ni wewe....tibu au tibua....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…