Mnatombana mchana ndugu wakiwa nje unatoroka job chap unapiga kimoja fasta unasepaUmenichekesha! Chumba na sebure mtu 8? Hahhahah!
Kweli kabisa! Ukioa mswahili imekula kwako usije hapa unalialia!Usioe mwanamke mwenye elements za kiswahili. Nyumbani kwako kutageuka kambi ya wakimbizi, hawanaga haya hao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] aisee umetisha mkuuMfate mmoja mmoja mchane live, mwambie mambo ya kiseng* huyatak.
Haihitaji kufundishwa shuleni, ndoa ni taasisi pekee ya elimu ambapo mtahiniwa anapewa kwanza cheti halafu ndio mitihani inafuata, acheni tu huyu anakoenda ndiko kwenyewe.Ndio maana niliwahi ku suggest humu ndani kuwa serikali ianzishe somo la ndoa mashuleni,tokea primary schools ili watu wajue kabisa kuwa unapo owa nini kinafuata,maana mtoa mada inaonekana hakutegemea haya kutokea,wakati hili kama ni somo lingekuwa ni la darasa la kwanza la mafunzo ya ndoa,yaani haya ni yale mambo mepesi mepesi ya kuanzia na yeye kashaanza kupanic saa hizi...
Tayari wewe mwenyewe umeshasema ana roho mbaya, lakini akili zilipokujia kidogo ukasema unaelewa ugumu wa maisha halafu ukaishia kutahadharisha kuwa wengine watasema ana gubu, sasa mbona upo kama sigara kali, hueleweki wapi mbele nyuma wapi?
Waswahili mna shida sana. Na hii ni tabia ya kutopenda kujitafutia kiasi mnaamini akiwa nacho ndugu yako basi mkafunge kambi kwake.
Ni ngumu kumuelewa mswahili, ndio maana sikukuelewa. Kaeni majumbani mwenu jamani na sio walikoolewa dada zenu. Waume zao wanashindwa kupiga show sebuleni eeeeeeeeh!hebu kabla hujakimbilia kum- quote mtu na kujibu hakikisha umeelewa kwanza alichokiandika,nmemuuliza je kama ingekuwa ndugu zake angejisikiaje??maana kama ni mama yake mzazi angeishi na isingemkera,ila mama mkwe anamkera basi hapa ningemuhesabu kwenye kundi la wenye roho mbaya!!
lakini kama hata ingekuwa mama yake mzazi bado angesema haya basi jamaa anahaki kutokana na hali ya sasa ya maisha,sio wote tunakipato cha kueleweka!!
Ni ngumu kumuelewa mswahili, ndio maana sikukuelewa. Kaeni majumbani mwenu jamani na sio walikoolewa dada zenu. Waume zao wanashindwa kupiga show sebuleni eeeeeeeeh!
Uchungu una rangi gan?Hii haijalishi ni ndugu wa nani wanazungumziwa hapa, tatizo ni USWAHILI. Unaongea kwa uchungu kwa kuwa hata sasa unaishi kwa shemeji yako eeh? Toka hapo mama nenda kwako, utaharibu ndoa ya dadaako. Tujifunze pia kuzaa kwa mpango
Hahhahahah!Hebu tuheshimiane mkuu,hunijui sikujui!
Hahhahahah!
Kweli mifano ni mingiUmenichekesha! Chumba na sebure mtu 8? Hahhahah!
Mswahili ni nani?!Kweli kabisa! Ukioa mswahili imekula kwako usije hapa unalialia!