Hapa umeongea hii kauli nimeshaisikia kwa watu wasiopungua watano. Wanasisitiza kuwa kuna wanawake wanatabia za kiswahili, wao wanajionea kila kitu sawa.....Usioe mwanamke mwenye elements za kiswahili. Nyumbani kwako kutageuka kambi ya wakimbizi, hawanaga haya hao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii haijalishi ni ndugu wa nani wanazungumziwa hapa, tatizo ni USWAHILI. Unaongea kwa uchungu kwa kuwa hata sasa unaishi kwa shemeji yako eeh? Toka hapo mama nenda kwako, utaharibu ndoa ya dadaako. Tujifunze pia kuzaa kwa mpango
Hii ni kweli kabisaUkiwa unadate na binti wa kukuletea utitiri wa ndugu utamjua tu mwanzoni. Unamtoa out au mko kwenye maongezi yenu mara simu inalia anaongea anaanza kukutambulisha na kukupa simu sijui msalimie anti/uncle/mama/Dada/kaka/ mdogo wangu, n.k. ukioona hivyo ni dalili tosha huyo manzi chaka!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama mkwe wako ni sawa na mama yako mzazi (kumbuka ni mzazi wa mkeo)Watu wa ukumbi huu, habari zenu.
Nimeoa na sasa nina watoto 2 alhamdullah, nampenda sana mke wangu lakini kuna jambo hili linaendelea kila uchao nahisi moyoni nimeanza kulichukia chukia.
Kuna muda mamamkwe amekuja kumsaidia ulezi wife wakati wa kujifungua lakini akapitiliza ule muda nilioambiwa na wife kama angekaa, sasa akawa anakaa kama ndio mahali pa kuishi. Yeye ni age kidogo, mama mtu mzima, hana mume.
Kuna kipindi huyu mama anaumwaumwa, mara ikaja ni kuhusu haya mambo yaliyoingia; sijui kapewa jini, mara shetani tafrani nyumbani mpaka sasa amesafirishwa mji wa pili kwa matibabu zaidi lakini nahisi akimaliza matibabu kama aturidi hapa kwangu.
Suala lingine naona shemeji yangu mtoto wa kiume shababi naye amekuja. Siku hiyo wife akaniambia leo shemeji yako, yaani mdogo wake, atalala hapa nikasema safi nikamtolea kitanda na godoro ili achape usingizi kwa siku ile, lakini naona siku ya pili kaendelea mpaka imefika kama wiki akasafiri kidogo kaenda kukaa kama siku 4 karudi yupo tunaendelea naye anachapa usingizi kama kawaida.
Nilijaribu kumuuliza wife ananimbia anafuatilia kitambulisho cha Taifa. Sasa mimi najiuliza, ivi unaweza kuacha shughuli zako siku zote kwa kitambulisho tu? Kuna siku akasema ile namba tayari ashapewa lakini mzee yupo ameganda tu na sasa pale home majukukumu yanaongezeka.
Naomba fatwa watu wa hapa, vipi niendelee kuvumilia maana hata uhuru pale nyumbani naona umebanwa kidogo.
si utaulizwa unawaachaje achaje... dawa wanunulie unga kilo 10 dagaa kilo moja na maharage kilo 3 , Tokomea wiki 2-3 hiviChukua likizo ya ghafla uondoke ww mke na watoto wako 2. Wataondoka wenyewe
mwangushie vipigo mke daily kwa wiki moja mfululizo, lewa kila siku anzisha fujo na matusi... kama mamamkwe +shemejiyo wakiweza kustahamili hayo jua Taraka ndo mwokozi pekee au Lete nyumba ndogo nayo iishi apoHuyo ma’mkwe na mwae lao 1 tu. Jitie unafiki wa kutomwambia ukweli huku unaumia mwambie achague yeye/binti’ye yupi abaki!
We jamaa nimecheka eti full kukuchekamr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mr.London, Kwa mama mkwe wa hivyo hamtamaliza hata miaka miwili mbele lazima wewe na mkeo muachane!
Tofauti na hapo wakupige limbwata uwe bwege then familia nzima wahamie hapo halafu wakubandike na kajina ka utani "kijeba" ni full kukusema kutwa nzima ukiwa job na kukuigiza unavyotembea na kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamakonde bhana!!!huo upuuzi unaulea tuu....haya mambo ya kusema jamii itanionaje mie sina kabisaaaa....hali ya kiuchumi ni tete sana......hukuoa ukoo...furumusha blaza.....msaada huko huko kijijini utakuja.....wacha waseme wapasuke.....nyumba yangu, nke yangu maisha yangu......hapo wewe anza kurudi late mtungi wa kufa....kimya wala usimsemeshe ntu....jua tuu ndoa yako iko hsptl........daktari ni wewe....tibu au tibua....
Kwahiyo mzee Pablo vijana tusioe??kuoa ni kujitwisha majukumu yasiyo ya lazima, ulikuwa haulijui hilo?
Haya mambo bana.Hautaki ndugu?! Si hua naskia ukioa au kuolewa ndugu wa mwenzio ni wako?!
Ndugu zake angewaambia tu direct hana haja kufungulia uzi. Shida inapokuja ataanzaje kuwaambia ndugu wa mwenzi wake?No retreat no surrender, Wanakuja tu dar familia ngapi zinaishi chumba na sebule na ndugu karibia watu8 humohumo na maisha yanaenda?!
Tuache utani wangekua ndugu wake yeye mwanaume angelalamika?!
Waje sio wahamieHautaki ndugu?! Si hua naskia ukioa au kuolewa ndugu wa mwenzio ni wako?!