Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

Usioe mwanamke mwenye elements za kiswahili. Nyumbani kwako kutageuka kambi ya wakimbizi, hawanaga haya hao.
Hapa umeongea hii kauli nimeshaisikia kwa watu wasiopungua watano. Wanasisitiza kuwa kuna wanawake wanatabia za kiswahili, wao wanajionea kila kitu sawa.....
 
Hii haijalishi ni ndugu wa nani wanazungumziwa hapa, tatizo ni USWAHILI. Unaongea kwa uchungu kwa kuwa hata sasa unaishi kwa shemeji yako eeh? Toka hapo mama nenda kwako, utaharibu ndoa ya dadaako. Tujifunze pia kuzaa kwa mpango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni kweli kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama mkwe wako ni sawa na mama yako mzazi (kumbuka ni mzazi wa mkeo)

Nakushauri kitu kimoja, kama angelikuja mama yako mzazi ungemfukuza, fukuza mama mkwe (kifupi mtende kama ambavyo ungemtenda mama yako mzazi.)

Kuhusu shemeji, hapo sina neno na wewe ila tu tumia njia nzuri ambayo si ya kumdhalilisha. Unaweza kumshauri kama mdogo wako tu.
 
We jamaa hupendi ndugu....yaan nikajua bhc wamekaa kwa muda kweli kumbe miezi tu...
Ulafi tu unakusumbua
 
Pole sana ndugu yangu:-
Sijui mlianza kuishi vipi na shemeji yetu, lakini baadhi yetu Kuna mambo tuliyawekea misingi kabla ya kuanza kuishi pamoja kama mke na mume
1. Wageni wanakaribishwa kwa kipindi maalumu na wataishi kwa muda maalumu wakiwa na sababu maalumu pia.
2. Ugeni utategemea natasi iliyopo. Masuala ya kulazana koridoni au sebuleni tuliyapiga marufuku. Mgeni anaelezwa wazi kuwa hakuna nafasi.
Baadhi ya familia unaweza kutembelewa na shemeji yako akiwa na mumewe pamoja na watoto wao wanne, Sasa unajiuliza utawaweka wapi?!
3. Kaa chini na mkeo na uzungumze naye kwa utarabitu kabisa kuwa hiyo hali haikufurahishi. Ni vyema kusema ukweli kuliko kuwa mnafiki moyoni.
4. Mkeo atachukia lakini mweke wazi kuwa inawezekana pia huna uwezo wa kumudu hizo gharama za maisha.
5. Jiandae kununiwa kwa muda na shemeji baada ya kumueleza huo ukweli kwa sababu yeye atadhani tatizo ni roho mbaya yako wakati wewe umeangalia mustakabali wa familia yako.

Pole sana.
 
Chukua likizo ya ghafla uondoke ww mke na watoto wako 2. Wataondoka wenyewe
si utaulizwa unawaachaje achaje... dawa wanunulie unga kilo 10 dagaa kilo moja na maharage kilo 3 , Tokomea wiki 2-3 hivi
 
Huyo ma’mkwe na mwae lao 1 tu. Jitie unafiki wa kutomwambia ukweli huku unaumia mwambie achague yeye/binti’ye yupi abaki!
mwangushie vipigo mke daily kwa wiki moja mfululizo, lewa kila siku anzisha fujo na matusi... kama mamamkwe +shemejiyo wakiweza kustahamili hayo jua Taraka ndo mwokozi pekee au Lete nyumba ndogo nayo iishi apo
 
We jamaa nimecheka eti full kukucheka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wamakonde bhana!!!

Am kidding[emoji3][emoji3]
 
Pole aisee. Ndio maana wenye pesa wanakua na nyumba ya wageni. Ndani kuna kila kitu wewe kazi yako kununua chakula ujipikie sio kuharibu budget za watu [emoji2][emoji2]
 
Bora Mimi huku najuwa mama mkwe hawezi fika na haji kufika..
 
No retreat no surrender, Wanakuja tu dar familia ngapi zinaishi chumba na sebule na ndugu karibia watu8 humohumo na maisha yanaenda?!

Tuache utani wangekua ndugu wake yeye mwanaume angelalamika?!
Ndugu zake angewaambia tu direct hana haja kufungulia uzi. Shida inapokuja ataanzaje kuwaambia ndugu wa mwenzi wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…