Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

Familia ya kibabe sana hiyo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dawa ya waswahili wasije kwako ni kutokupika chakula na nyumba yenye njaa ainaga wageni , anatakiwa asubuhi chai haipikwi,mchana ugari unapikwa saa kumi jioni.
[emoji3][emoji3][emoji3],lazima watoke nduki
 
Mama mkwe huwezi muondoa kwa kuwa ni wakati wake kulelewa kiuhalisia hata mikiki mikiki ya maisha haiwezi kwa umri wake ila huyo dogo shemeji timua haraka sana.
 
Kwahiyo mzee Pablo vijana tusioe??
ndoa kwa mwanamke ni kitonga,ila kwa mwanaume ni gunia la misumari, mwanamke atakupa pussy tu hayo mengine atakayokupa ni matatizo, pussy
yenyewe hawezi kukupa kama unavyotaka ukatosheka, ukitaka uishi maisha ya stress uzeeke mapema oa,mimi sijaoa ila nimeshazalisha watatu
 
pussy yenyewe hupewi kwa jinsi unavyotaka, mwanamke atakupa pussy tu, mengine atakayokuachia ni matatizo tu
 
Yaani hapo ndio huwaga nachoka.... yaani pussy ndio inifanye nitaabike kiasi hicho...Aise nita taabika kwaajili ya manufaa yangu mwenyewe na sio vinginevyo
pussy yenyewe hupewi kwa jinsi unavyotaka, mwanamke atakupa pussy tu, mengine atakayokuachia ni matatizo tu
 

Nimekuelewa sana, nafanyia kazi huu ushauri
 
Halafu ukitoka hapo unasema hutaki kuoa single mother (s) wakati umeharibu watatu huko mitaani, nyie watoto wa kiume Muumba ana waona pia msisahau karma hujirudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…