Mama mkwe nimemueleza aje amchukue binti yake kama anaona mimi namtesa

Mama mkwe nimemueleza aje amchukue binti yake kama anaona mimi namtesa

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Wakuu....

Naombeni niwaulize kitu; Hivi mfano ndani kuna Mchele, mafuta, nyanya, kitunguu yaani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu na sio kila siku atakosa hiyo mboga kwa kuwa ni upepo mbaya umepita sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu, huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
20000 hiyo faida au mapato? Kama ni faida mpe. Na kama hapo umemfungulia ajiajiri yeye kaa naye mwambie alinde ajira yake hapo akifanya anayoyajua kufurahisha nafsi yKe bas anajiudisha nyuma mwenyewe. Alafu wewe endelea kukomaa na boda yako
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Mpeleke kwao kwanza alafu msome atataka kurudi au atakaza akikaza tu muache moja kwa moja sikufichi kinachofuata hapo ni kunyimwa punani alafu ataenda kuitombeshar nje makusudi kashakudharau huyo
 
Si muachane,kwani kuachana ni jambo la kushangaza sikuhizi.... mwanamke akikupendea pesa ukichacha na penzi limekufa anaanza kukuona kama nguchiro.... akikupendea mkuyenge na pesa at least utabaki mkuyenge....ukiishiwa pesa mwanaume mkuyenge nao unaanza kusuasua basi hapo pia unaachwa 🤣🤭🥴
 
Naendesha mwenyewe mkuu
Komaa hapohapo, nyumbani wale.. muhimu familia isifikie hatua ya kuomba omba kwa ndugu. Na kama mkeo ana akili hapo ndo pa kukaza na kujifunza kuishi maisha hata akiwa mwenyew. Tunaishi kwa ridhaa mkuu kama unaona ana muelekeo wa kuelewa nyakat tofauttofauti its oke. Ukiona haelewek ujue hajakupenda, atawasambazia wanao upendo mambo hadharani
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.

Usioe mwanamke asiye na Shukrani.
Asiyejua bajeti
Àmbaye hakupendi

Mwanamke yeyote anayetoa mambo yenu ya ndàni akatoa nje ikiwemo Kwa ndugu Zake au Wazazi wake Bila ninyi kukaa na kuruhusu tàarifa hizô zitoke huyo mfukuze.

Hata Wanaume weñye tàbia za kusema mambo ya Nyumba yake Kwa Wazazi wake ikiwemo madhaifu ya Mkewe, Mke anaruhusa ya kumuacha
 
Usioe mwanamke asiye na Shukrani.
Asiyejua bajeti
Àmbaye hakupendi

Mwanamke yeyote anayetoa mambo yenu ya ndàni akatoa nje ikiwemo Kwa ndugu Zake au Wazazi wake Bila ninyi kukaa na kuruhusu tàarifa hizô zitoke huyo mfukuze.

Hata Wanaume weñye tàbia za kusema mambo ya Nyumba yake Kwa Wazazi wake ikiwemo madhaifu ya Mkewe, Mke anaruhusa ya kumuacha
Lete na maandiko kidogo mkuu, ushaur wako si mbaya ila jazilia kidogo na neno la baba muumba
 
Tatizo letu wabongo huwa hatuna utamaduni wa kuweka akiba visingizio kibao, hapo si ajabu ulikuwa na michepuko yako ya hapa na pale ambayo imechangia wewe kufilisika, lakini cha ajabu mke ndio analazimishwa abebe mzigo wa kuvumilia umasikini wa kujitakia wa mumewe
 
Mkuu mafundi wote tunafanya hivo pale kwa mchina ...mimi ni kama ilikuwa Bahati mbaya
Sawa mkuu.
kwa maelezo uliyotoa ni kwamba mkeo anataka kuku control, Usimpe hiyo nafasi, Wanawake wana drama sana.. be smart alafu kuwa mkali sometimes.
Moja katika red alert kuwa ndoa yako itaingia kwenye matatizo ni mwanamke kumpigia simu sana mama yake alafu maongezi yao ni kuongelea shida anazopata tu.
 
Wakuu...naombeni niwaulize kitu...,hivi mfano ndani kuna Mchele,mafuta,nyanya,kitunguu,..yani kila kitu ambacho kinawezesha mtu kupika na akala kasoro mboga tu...na sio kila siku atakosa hio mboga kwakuwa ni upepo mbaya umepita..sina kazi saivi je? ni halali kusema ninamtesa mtu?

Unajua wakuu ...huyu mwanamke hajui ni kiasi gani naumia,napata shida kila siku kumuelimisha maisha ni yetu na sio ya majirani.

Anampigia mama ake huku analia kuwa mimi siachi hela,,anasahau mda huohuo mimi nimefukuzwa kazi kwa wachina sababu ya kesi ya uwizi wa mataili ...naipambania sana familia yangu ..mimi kuna mda nilikuwa natembea kwa mguu msasani hadi makumbusho ili tu tusizalilike ikitokea emergency yoyote tuwe na kiasi cha kusolve mle ndani..Mimi sio mtu wa kuenda kuombaomba hela kwa mtu sipendi kuazimwa hela.

Kuna siku nilimchukua hadi kariakoo nikamnunulia magauni mawili kila moja ni 85000,...hapo kidogo nikaona amefurahi,..ila nilimwambia najua hio ni furaha ya muda kwakuwa najua ninachokifanya ni sawa na kazi bure tu.

Ujue saivi ,,huyu mwanamke ananunanuna sana au naweza mpa maelekezo asiyafate kwa wakati hadi niaamua kuifanya hio kazi mwenyewe..
Maisha yamebadilika sana kwangu kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi ...nilikuwa na akiba ya mil4 ndio nikafungua duka la kuuza maji ili akae dukani ila na nyingine nikanunua boda...sasa huwa simuelewi ananiambia mimi nafanya yote kwa ajili yangu kitu ambacho sio kweli..anataka tugawane faida..yani pale dukani mfano akiuza 40000...bhasi 20 yake ishirini yangu.
Ana umri gani?
 
Back
Top Bottom