Mama mkwe wangu anavaa nguo fupi mbele yangu, naombeni ushauri jamani

Hii stori sijailewa na wala sitaki kuuliza nawacha ipuyange kama nilivyoikuta!
 
Fupi ? Kutoka kiunoni inafika wapi?
Ufupi inategemea na wewe unatizama kutokea kona ipi?
Ufupi wake na urefu wake haubadilishi kitu, kwakuwa, kuona "uchi " wa "mkeo" ni sawa na "kuona wa mama mkwe wako" havina tofauti na ulichokikuta kwa mkeo ndio kipo kwa mama mkwe wako.
 
Sasa ushauri gan unataka kwan ww ni
Mme wake ad umpangie nguo zakuvaa

Komaa na mke wako ndo asivae nguo fupi ila mambo ya mama mkwe mwachie yeye na mme wake baba mkwe wake

Yan ww kuoa mwanao bas unataka kuwapangia na kuwabadilishia mfumo wao wa maisha ambao wamekua wakiishi

Ukisikia mwanaume gubu ndo ww sasa
 
Atakuwa ameishasimuliwa na bintiye jinsi unavyomgegedà vizuri. Anataka kupima kina cha maji kwa miguu miwili huyo. Akina mama wana majaribu sana aisee!
 
Unatamani kuwa nafsi ya kike?

Hatukusomi
 
We George ndio umeolewa na una mimba ya miezi 8 ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…