Mama mkwe wangu anavaa nguo fupi mbele yangu, naombeni ushauri jamani

Embu nipe namba ya uyo mama mkwe wako nimkanye kwa iyo tabia yake chafu.
 
Mambo Kama hayo yapo na hutokea inahitajika hekima Ku-deal na hayo mambo.

Mama yako anaweza fanya mambo negative lakini usiache kumfichoa aibu na kumstiri. Stay positive and cherish every single moment.
 
Unashindwa kuleta uhalisia kazi kukopi story za watu.

Jamii forum sikuiz ni hovyo Sana

Enzi zetu 2015-2018 mtu akileta kitu humu hadi unasisimka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…