[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] comment imenifuraisha yeye Ali target child support na umaarufu na kweli umaarufu wake umeongezeka had ana pata matangazo makubwa Diamond hampendi imebidi tu ajirudishe maana Zari kashakuwa brand kubwa tena wabongo ndo tulimuongezeaUnadhani ilikua bahati mbaya ile?? Mbona mimba za yule baunsa wa Uganda alikua anazitoa. Alipiga mahesabu yake vizuri. Akaona kijana anashida ya watoto na yeye mayai anayo kwanini asiendelee zake kujilia child support kuliko kubanana na Getu kwa Katunzi
Akili tu ndio tatizo nothing else.Sasa wanaelewaga kwani?? Wema nae si alichambwaga na wote? Ila wakishikwa mkono kidogo wanasahau yote. Sijui ni fame au ndo mahaba au njaa zao ndo maana wanajishusha hivyo sielewi kwa kweli
na upeo wako wote ulionao " Juu ya maandiko ya dini " leo umeongea haya "..... MAHABA NIUE NIPONDE PONDE KAMA NYANYA ...aisee....Hiyo ni Ndoa tayari kilichobaki km wakristo ni kuibariki tu uishi na mwanamke Uzae nae watoto wawili halafu useme Sio mkeo watu watakushangaa
Faida za umalaya ziko nyingi hata kupata orgasm ni faidaHatukatai kwa kuwa umeamua kusema [emoji23][emoji23][emoji23] vipi umalaya wa mobetto una faida gani kwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zaidi anaishia kukanwa na kutukanwa kila kukicha
Umeona eeehh!baassi nae ndo wale wale kahaba kama wengine mwanamke anaejitambua hawezi beba mimba ndani ya mwezi mmoja wa mahusianoUnadhani ilikua bahati mbaya ile?? Mbona mimba za yule baunsa wa Uganda alikua anazitoa. Alipiga mahesabu yake vizuri. Akaona kijana anashida ya watoto na yeye mayai anayo kwanini asiendelee zake kujilia child support kuliko kubanana na Getu kwa Katunzi
Maybe ana plan Ku revenge kwa mioyo yetu hii ya kike yeye hana mapenzi tena ila umaarufu anataka uendeleeYaani wanawake sie hapana kaah!
Ila Zari ana plan yake bwanaa mi siamini kirahisi hv
Na hiyo ndio akili kubwa. Mdomo wake umeponza kichwa.Hata mim nisingetoa mamiyake ila msingekaa mkanijua hata Shilawadu wangekuja ningekataa nikasema diamond cuzn yangu bora mahitaji napata akaaaa
Kazaa na bf wake Majizzo na https://jamii.app/JFUserGuide mate wake DiamondNadhani ungeniuliza kazaa na nani na nani?
Jibu;
Ana watoto watano kazaa na Ivan aliyekuwa mume wake na Dai ambaye alikuwa mpenzi wake official vipi Missa???
[emoji3][emoji3][emoji3]mamaaa hawasemi hayoo!wanamuona Hamisa njaa aliyeomba 5mils per month[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe anamuhonga Diamond na mko hapa mnamsifia ana akili? Serious mwanamke mwenye akili mwenye watoto watano anatafuta hela yake kumuhonga mwanae anaemdhalilisha? Mmenichosha kujua hayo. Sasa kama anahonga hela zote hizo mbona alimdai baby daddy 100M ili aweze kuwaona watoto wake?
Ila Diamond atakua na kizizi sio bure.Akili tu ndio tatizo nothing else.
Kwa level hapa unatudanganya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Missa bado sanaHawana ubora wowote kwa kukubali kudhalilishwa na diamond yeye na Hamisa wako level moja
100% factUmaarufu unawazalilisha sana huyu mabetto na zari au Dai huwaloga mi namshauri hamisa atulie ajipange na future yake she is still young asizae tena hovyo mpaka aolewe, huyo zari diamond amemrudia baada ya kuona watu wamemchukia na kiki zimepungua, yeye kutwa kuzalilisha wanawake waliomzalia ili Ku trend mitandaoni
Kwa kweliUmeona eeehh!baassi nae ndo wale wale kahaba kama wengine mwanamke anaejitambua hawezi beba mimba ndani ya mwezi mmoja wa mahusiano
Hapo ndo tunapokosea hapo[emoji3][emoji16][emoji16]huoni Yale mabango ya ukweli ya Zari wapambe wanayatetea na kwa Hamisa piaHahahahaa. Kwahiyo wengine hamuwi wakweli sababu mna team eeh.
Ha ha ha good pussy itahamia kwa le kokobangaHilo neno la pussy so good atajuta kulitamka maana linamrudi vibaya
Kabisa ndio maana Lulu atabaki Bongo movie mwenye akili tu maana anajua kula na kipofu huwa hapigi makelele wala kurusha vijembe.Mama Lulu anajitahidi kumfundisha mwanae kuiba mabwana na wamsaidie Maisha sio mama Hamisa
Ataturusha roho saa ngapi?Ila Zari asingerudiana na Diamond Kwa kipindi hiki ni Muda mfupi Sana toka Waachane miezi minne tu ,amejitangaza mpk BBC.
Kumbe lulu alikaba had penalty sasa Hamisa ajitulize ajijengee heshima yake Lulu pamoja na kupitia makubwa akiwa mdogo alijirekebisha had sasa anafaa kuwa wife material kabisaKwa majizo aling'ang'ania sema akakuta majizo keshashikiliwa na shikana akarudi nyuma. Akaona wa kumkomesha ni Zari [emoji23][emoji23]
but yote kwa yote wanawake wote wa humu na huko nje wanatamani sana ile nafasi ya zari na hamisa......ukweli mgumu huuAngrchukiwa piaa
Umeponza kichwa haswaa. Apambane na hali yake hamna mtu mwenye akili timamu atamuonea huruma. Akikosa matunzo ya D ntamuonea huruma ila kukosa Diki ya domo akajambe mbeleNa hiyo ndio akili kubwa. Mdomo wake umeponza kichwa.