cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] comment imenifuraisha yeye Ali target child support na umaarufu na kweli umaarufu wake umeongezeka had ana pata matangazo makubwa Diamond hampendi imebidi tu ajirudishe maana Zari kashakuwa brand kubwa tena wabongo ndo tulimuongezeaUnadhani ilikua bahati mbaya ile?? Mbona mimba za yule baunsa wa Uganda alikua anazitoa. Alipiga mahesabu yake vizuri. Akaona kijana anashida ya watoto na yeye mayai anayo kwanini asiendelee zake kujilia child support kuliko kubanana na Getu kwa Katunzi