Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

Hamisa ndo nan mkuu
 
Wewe naye ile ilikuwa siku visiku hata sio mwezi tangu ua jeusi.
Na mengine alisema hayaongelei.. kama ilivyo sasa hajasema kilichojiri zaidi ya zawadi kutoka kwa mzazi mwenzie au mumewe.. eeeeh utalia ati
Wameshapost wanashikana shikana kitandan na viuno anamkatia mbwa wake simba ...
 
unamuachaje irene uwoya
mke wa mengi je
sema enzi zile no insta
mke wa mengi alipigana na nani vile kipindi kile kumgombea kinje baada ya hapo ndio mengi akamnyakua
 
Uzi mzima zari zari zariiiii zariiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bosslady yupo vizuri hadi kwenye uzi usiomhusu
famous
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] sijasema wotee....mnamuandama hamisa eti kaanza umalaya mdogo wakati vitoto vya darasa La saba vinalala na mabwana...hivi visaka umaarufu bongo vingi vinaanza umalaya mapema,nimesoma mjini hapahapa na niliosoma nao wengi ni maarufu najua jinsi walivyokua wanachezewa ili tu kupata umaarufu kunuka mpk Leo wamepata umaarufu ila wamechezewa sana...hata Lulu tu mfano kaanza ukahaba bado mdogo mpk yanamkuta

Na huyo majizzo hawezi ingia matatani wala nini!Bongo movie wote wanadanganya umri hata hao unaowasujidia ukute wana zaidi ya hyo ndugu!

Na hata km ikoje hajafika 27 huo ndo ukweli!
Kweli Hamisa panadol[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]utainywa tuu utake usitake!

Poleeeeeee!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binam tuanze biashara ya kuuza dagaa na tuwe mabosslady na sisi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binam tuanze biashara ya kuuza dagaa na tuwe mabosslady na sisi
Hilo nalo neno binamu[emoji3][emoji16][emoji23]mjini heshima pesa...kisu mzigo,shikamoo makelele!
 
Kila mtu ana makosa na kila mtu hajakamilika. Sasa nyie mnaojifanya kumtukana mama wa watu au Hamisa nyie mmejiangalia?? kuhusu matusi alianza nani kutukana muwe wakweli basi sio kufata mikumbo tuu kuhusu makosa wote wana makosa wote walitukana. Kitu kikubwa ni kugundua kosa na kuacha maisha yaendelee kama yalivyo. Mama wa watu ameomba na amesema mtt alikosea sasa mnaotukana mnajielewa kweli. Inamaana ww ni msafi sana?? Yesu aliwaambia makutano na asiye na dhambi aanze kumtupia mawe mwanamke huyo(ref. yule mwanamke malaya) Hebu Nyamazeni kabisa huyo Dimond angekua ametulia kwa mwanamke wake leo yangetokea haya. Itazameni hyo familia ya huyo Dimond kwanza ndo mumutukane mtt wa watu. Hebu vaeni viatu vya Hamisa kidogo Sitetei kwa yaliyofanyika lakini yalishatokea na binadamu tumeumbiwa makosa.
 
Eti anazaa na na wanaume wa watu hao wanaume si watulie na ndoa zao na kwanza katika wote hapo mwanume wa mtu ni yupi hapo hakuna mwenye ndoa hapo. Mbona hamumusemi dimond aliezaa na mke wa mtu(Zari) ?
 
kwani alifanya nini mbona siwaelewi ""....



Kut.ombwa hovyo na kujilazimisha kuolewa na mtu aliyekuwa na mahusiano na mwingine. Familia ya jamaa wakahisi huenda Hamisa ana mkosi na atailaani familia....hivyo Mama wa jamaa akajitoa muhanga na akamvizia Hamisa kwa kumpa kibondo cha nguvu mpaka akakimbia bila chupi (chafu) na wigi la kuokota likamtoka mpaka leo lipo kule Madale linatumiwa kwa kupigia deki. In short, demu yuko so fake.
 
Ahsante Dada umemaliza humu tumejaa watakatifu na malaika kibao humu!kuyaona mabaya ya wenzetu tu!Hamisa mkosaji wengine malaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…