Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Sasa msamaha kwa kosa gani? kwani ina maana wengine hawakuwai kutukanwa kwa sababu ya mwanae? mwanae anaogopa matusi halafu ustaa anaupenda bila kusahau kiki hahahhaha
Huyu Mama pengine amechanganyikiwa....hivi kwa mchezo aliohamua kucheza mwanae alitegemea apate nini zaidi ya hayo? Yeye alitakiwa kujua mapema matokeo ya mchezo anao ucheza mwanae......
Kutafuta huruma za kuomba msamaha ni upumbavu tuu...... mwanae ana vuna alichopanda...
Matusi ndio malipo ya kazi anayoifanya mwanae kwa hiyo kama anaogopa matusi ampe taarifa mwanae abane miguu...
Huu ni uchizi tuuu hakuna cha kuumwa tumbo la uzazi wala nini ni upumbavu tuuu...
Huyu Mama pengine amechanganyikiwa....hivi kwa mchezo aliohamua kucheza mwanae alitegemea apate nini zaidi ya hayo? Yeye alitakiwa kujua mapema matokeo ya mchezo anao ucheza mwanae......
Kutafuta huruma za kuomba msamaha ni upumbavu tuu...... mwanae ana vuna alichopanda...
Matusi ndio malipo ya kazi anayoifanya mwanae kwa hiyo kama anaogopa matusi ampe taarifa mwanae abane miguu...
Huu ni uchizi tuuu hakuna cha kuumwa tumbo la uzazi wala nini ni upumbavu tuuu...