Mama Mongella - Aghushi na Kutafuna Mamillioni Ya Pesa!

Ni mama yangu wa ubatizo,hence in my eyes she can do no WRONG.
nakuelewa kaka ukizingatia wewe mwenyewe umepelekwa huko London kwa hela hizohizo za ufisadi lazima umteteeeee but get prepared coz the cheques will stop coming your way.............uuuuh sorry ....stopped alrealdy...................utashinda na njaaa kaka tukuleteeeee dagaaaa wa ukerewe na unga wa donaaaaaaaaaaaaa?
 
Kwa kweli ni vema hata Serikali ya Tanzania ikamchunguza Mama huyu kwani hata Tanzania kuna ndugu na Wakwe zake amewapa kazi katika taasisi za Serikali na NGOs na wengine walipwa mishahara na sehemu mbili na zaidi wakati Watanzania wengine hawana ajira.Pia sheria ichukue mkondo wake kwa Mama huyu kwa kuiaibisha Tanzania.
 
In line with the constitution of the united states,i plead the fifth amendment-the right to remain SILENT
 
In line with the constitution of the united states,i plead the fifth amendment-the right to remain SILENT
Yeah, but the main audiance of this blog is wabongo.This may not help you very much if you profiteered on dirty stolen money!
 
Huyu mama ! amechezea heshima yake, ukizingatia kwamba ni kati ya wanachama waanzilishi wa TANU na alibahatika kushika madaraka tofauti. Hii ni halisi ya viongozi wetu, uwizi mtupu !!!! uongo mtupu ! hata umri hawauonei aibu. Hii inadhihirisha uzoefu wao katika fani ya kuiba mali ya umma........ kui kui kuiiiiiii
 
ka slogan huko AU pia wanakajua! Origin ni mwenyewe Kwame Nkrumah!
JK anapigwa pande zote, na kama hatoanza kuwa mahiri, yote yatamtokea puani!
 
lakini hii habari ya Mongella mbona ya long- yaani kitambo nilishawahi kuisikia, mategemeo yangu ni kujua matokea na siyo stori zilezile. au mkuu kanukuu mwanahalisi ya zamani?
 


Omugasi
Re: Mama Mongella - Aghushi na Kutafuna Mamillioni Ya Pesa!

Lakini hii habari ya Mongella mbona ya long- yaani kitambo nilishawahi kuisikia, mategemeo yangu ni kujua matokea na siyo stori zilezile. au mkuu kanukuu mwanahalisi ya zamani?
 
Katika hatua ambayo haikutarajiwa, inaelezwa kuwa serikali ya Tanzania imekubali kubeba mzigo wa kulipa fedha zote ambazo Mongella alituhumiwa kuzitumia vibaya.

  1. Kwa msingi gani serikali imechukua huu mzigo wa mama Mongela, mtuhumiwa wa wizi?
  2. Je Mama Mongela atazilipa vipi hizo pesa ambazo serikali imeamua kumlipia?
  3. Nijuavyo mimi ni kuwa ana mali TZ ikiwa ni pamoja na ile nyumba yake pale Makongo, kwa nini visifidie wizi wake?
  4. Je, mashtaka gani yanamsubiri mama Mongela au atapewa ukuu wa Mkoa akapumzike?
Kwa kweli nchi imeharibika. Unapokuta Mama Mongela ameamua naye kuwa mwizi, Mzee Kingunge kuwa fisadi n.k., basi ujue hakuna aliyebaki safi kwenye timu JK.
 
Anagoma nini?lazima alazimishwe azungumze kwani huo ni ufisadi na usanii wa hali ya juu,tunataka azungumze kwa sababu tayari serikali kupitia hela za walala hoi wa tanzania imeamua kuzirudisha.Huyo mama hafai kabisa na hao ndio wanajifanya waumini wa Mwl J.K.Nyerere ubinafsi kila sehemu jamani tutamwamini nani?
 
Mama yangu weee, si jui tumwamini nani ,ufisadi kila kona ,huyu mama ni mama EPA,tuhuma kila mahali kwa hawa tunawowaita viongozi kuanzia akina Kingunge,Mkapa,Lowasa,Warioba loo mbona mkono umechoka kuandika orodha ni ndefuuu sana,inatia kichefuchefu ama kweli naamini rupia ilimsaliti hata Yesu,
Hii nchi inaenda kwenye zile zama za.......
 
Naomba msaada kwa kuwa sijaelewa.

Mbona original post ni ya mwaka 2007, je kua habari mpya au ni zilezile. tupeni ili tuweze kuchangia. Thadhari! Kama ni ile ya mwaka 2007 basi tutakuwa tunaigeuza hii forum sehemu ya fitina.
 
Naomba msaada kwa kuwa sijaelewa.

Mbona original post ni ya mwaka 2007, je kua habari mpya au ni zilezile. tupeni ili tuweze kuchangia. Thadhari! Kama ni ile ya mwaka 2007 basi tutakuwa tunaigeuza hii forum sehemu ya fitina.

Hii thread kuna mtu alianzisha mwaka 2007. Sasa member mwingine akatoa data nyingine kuhusu huyu huyu mama so wakaamua kuziunganisha mkuu.
 
sasa huyu mama mbona ametufedhehesha sana wajameni..haya bana...kweli alielelewa na ccm hata aweje ataiba tu...huyu mama ni uzao wa ccm..na ni mwanachama wa ccm...kwahiyo hatushangazwi tunaojua wizi unaofanywa na ccm
 
...halafu alikuwa anautaka urais wa nchi!

Sasa pale Ikulu sijui ndio ingekuwaje kama angeupata,i'm sure yule mtoto wake ambaye ni DC Kigoma huko labda angempa ubosi wa PCB!

Jamani,hao ndio viongozi wetu...always drooling where theres $$$

Angekua Waziri Mkuu
 
Mnataka wakale wapi? polisi? acheni kununuliwa wakati wa kupiga kura ndo mtapata viongozi safi.

Atatumia hizo hela kununua kura tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…