mama mshauri (Miaka 35 hadi 45)

mama mshauri (Miaka 35 hadi 45)

Mlima meru

Senior Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
114
Reaction score
20
Mimi ni mwanamme naishi Arusha, napenda kuwasiliana na mama mwenye umri tajwa hapo juu. Sifa zake; awe ni mtu mwenye busara na anaye jilinda, awe ni mfanyabiashara na kipato cha kumtosheleza ili awe na amani. nimependekeza dada/mama kwa kuwa kuna mambo mengine ya relation atanishauri.

Aliyeko tayari naomba ani pm

Asanteni na poleni kwa kazi za mchana kutwa!!!
 
Back
Top Bottom