Mlima meru
Senior Member
- Dec 30, 2012
- 114
- 20
Mimi ni mwanamme naishi Arusha, napenda kuwasiliana na mama mwenye umri tajwa hapo juu. Sifa zake; awe ni mtu mwenye busara na anaye jilinda, awe ni mfanyabiashara na kipato cha kumtosheleza ili awe na amani. nimependekeza dada/mama kwa kuwa kuna mambo mengine ya relation atanishauri.
Aliyeko tayari naomba ani pm
Asanteni na poleni kwa kazi za mchana kutwa!!!
Aliyeko tayari naomba ani pm
Asanteni na poleni kwa kazi za mchana kutwa!!!