Uko pande zipi nije unipe Balimi 2 fasta za moto?kwa muda mrefu nmekuwa nikifuatilia threads mbalimbali JF katoka majukwaa mbalmbali na leo nmeona nami nijiunge rasmi nisiwe tu nachungulia na kusoma pasipo uwezo wa kuchangia.
nashukuru kwa wale ambao watanipokea kwa nia njema tuweze kujamiana (to socialize) katika mambo mbali mbali ya kiuchumi na kisiasa.
mi ni mkazi wa dar nafanya kazi na biashara binafsi naamini ntajifunza mengi toka kwa wengi humu ndani.
Boss
Huyu baba Mshuza yuko wapi? Mi pia naishi Dar naitwa Baba Mateshakwa muda mrefu nmekuwa nikifuatilia threads mbalimbali JF katoka majukwaa mbalmbali na leo nmeona nami nijiunge rasmi nisiwe tu nachungulia na kusoma pasipo uwezo wa kuchangia.
nashukuru kwa wale ambao watanipokea kwa nia njema tuweze kujamiana (to socialize) katika mambo mbali mbali ya kiuchumi na kisiasa.
mi ni mkazi wa dar nafanya kazi na biashara binafsi naamini ntajifunza mengi toka kwa wengi humu ndani.
MweeehHuyu baba Mshuza yuko wapi? Mi pia naishi Dar naitwa Baba Matesha
Anhaa...
Woiiiiiiiledada NA dingimtoto NYIE NADHANI NDO MLIMTIBUA MGENI AKATEMA NYONGO KULE MMU KUHUSU "Sisi wanawake wa miaka Hii Pilau sana... warahisi mpaka Ladha inaisha. "
MMEUTEKA UTAMBULISHO WAKE MNABEBISHANIA HAPA πππ
Huu mguno wako huwa unanibariki sana. Hasa ukiutolea kule faraghaWoiiiiiii
Mama nakufaHuu mguno wako huwa unanibariki sana. Hasa ukiutolea kule faragha
Duuu mkuu hilo jina la pande za mboka nini?Karibu sana JF mjukuu wetu hapa GT.