Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Basi tena. Kashaniharibia mipango yangu. Nlitaka niwe baba wa kambo wa MshuzaBaba mshuza yupo dar pia... Nashukuru sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tena. Kashaniharibia mipango yangu. Nlitaka niwe baba wa kambo wa MshuzaBaba mshuza yupo dar pia... Nashukuru sana.
Andika tena nikuelewe.
Wewe kibabu aisee...kwa muda mrefu nmekuwa nikifuatilia threads mbalimbali JF katoka majukwaa mbalmbali na leo nmeona nami nijiunge rasmi nisiwe tu nachungulia na kusoma pasipo uwezo wa kuchangia.
nashukuru kwa wale ambao watanipokea kwa nia njema tuweze kujamiana (to socialize) katika mambo mbali mbali ya kiuchumi na kisiasa.
mi ni mkazi wa dar nafanya kazi na biashara binafsi naamini ntajifunza mengi toka kwa wengi humu ndani.