Maria Nyamhanga
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 130
- 25
NaoMba kueleweshwa. Mtoto wangu nilisafiri nae kuja nyumbani Tanzania. Nilimchukulia visa ya miezi mitatu. Visa imekwisha nilitakiwa niondoke bahati mbaya akapata maradhi ya maralia. je naweza kuondoka bila tatizo visa ikiwa imimekwisha mwezi mmoja? Nisaidieni.