Mama mwenye maambukizi ya Korona hawezi kumuambukiza Mtoto kwa kumnyonyesha

Mama mwenye maambukizi ya Korona hawezi kumuambukiza Mtoto kwa kumnyonyesha

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210304_101356_0000.png


Tafiti zinaonesha kuwa virusi vya Korona haviambukizwi kupitia njia ya kunyonyesha

Hivyo mama aliyethibitika au kuhisiwa kuwa na Virusi vya Korona anaweza kuendelea kunyonyesha mtoto wake isipokuwa atazingatia yafuatayo:-

Kuosha mikono mara kwa mara na sabuni na maji tiririka au kwa kutumia Sanitizer haswa kabla ya kumgusa mtoto

Kuvaa barakoa ya kitabibu wakati wowote anapomshika mtoto, pamoja na wakati wa kunyonyesha

Kuziba mdomo na pua kwa kutumia sehemu ya ndani ya kiwiko cha mkono wakati wa kukohoa au kupiga chafya

Mara kwa mara kusafi sehemu ambazo mama amegusa
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom