ina maana ndio mara ya kwanza kuota unabanjua? ni ndoto tu hiyo wala hamna issue hapoKatika khali icyo ya kawaida ucku wa kuamkia leo nimejikuta nikimuota mama mwenye nyumba nikiibanjua amri ya 6.na wakati nimeamka nakwenda mawaliton nikamkuta uani nikajkuta nainamisha kichwa kwa aibu je ni ndo 2 au inaukwel ndani yake?NISAIDIENI JAMANI.
shetani toka!....
kodi ya 2010-2011 umeshalipa?
hiyo ndoto ina muendelezo wake, usiku wa leo utaota mumewe kakufumania kisha kalipiza kisasi kwa kukubanjua wewe