Mama mwenye nyumba nayoishi Ananijia Ndotoni

Mama mwenye nyumba nayoishi Ananijia Ndotoni

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Katika khali icyo ya kawaida ucku wa kuamkia leo nimejikuta nikimuota mama mwenye nyumba nikiibanjua amri ya 6.na wakati nimeamka nakwenda mawaliton nikamkuta uani nikajkuta nainamisha kichwa kwa aibu je ni ndo 2 au inaukwel ndani yake?NISAIDIENI JAMANI.
 
hiyo ni ndoto tu na nashangaa ukaona aibu ya nini.penda kusali wakati wa kulala kwani wakati mwingine majini mahaba huja kwa sura za watu unaowafahamu
 
Ndo ashakuendea kwa Kalumanzila huyo..na hapo mmeisha do kikweli kweli ila tu wewe ndo ulikuwa kimauza uza!
 
Ulienjoy kumbanjua lakini? Kama ndiyo, omba kila siku uote hivyo...
 
acha kumuwaza mama mwenye nyumba wako mpaka unamuota
 
Katika khali icyo ya kawaida ucku wa kuamkia leo nimejikuta nikimuota mama mwenye nyumba nikiibanjua amri ya 6.na wakati nimeamka nakwenda mawaliton nikamkuta uani nikajkuta nainamisha kichwa kwa aibu je ni ndo 2 au inaukwel ndani yake?NISAIDIENI JAMANI.
ina maana ndio mara ya kwanza kuota unabanjua? ni ndoto tu hiyo wala hamna issue hapo
 
Hiyo ndoto ina muendelezo wake, usiku wa leo utaota mumewe kakufumania kisha kalipiza kisasi kwa kukubanjua wewe
 
Mpwa kama unaishi mwananyamala ni sahihi, nakumbuka sana the same drimz nilikua naziota sana pale m'nyamala, yaani yule bibi lazma akujie ndotoni na siku hio asbh lazma ukutane nae tena anakua mchangamfu sana, yaani nikilala bila kusali msala wake usiseme hadi nikahama ile nyumba, mwanzoni niliambia sikuamini, yaani hapatani kabisa na shem/wifi yenu ila mm sasa!
 
wacha kumtamani mama wa watu...
inawezekana mtu uneyemtamani ni mwanga!....hapo chachaa....:whoo:
 
siku nyingine ukiota hivyo ukiamka tu jikague kunako t.i.g.o maana kuna majini mahaba yakikujia unaota kama vile unakula tunda kumbe wewe ndio unabanduliwa.
 
Hizo ni tamaa tu za mwili, kwa kuwa unaona fr.house kazee unatamani we ndo uwe na m'house, ucjaribu hata siku moja utachonga mzinga hadi ushikwe na fr'house.
 
Back
Top Bottom