Mama mzazi wa nabii mkuu Geordavie akitoa ushuuda kanisani kwa mwanae alisema;
"Mwanangu sio mtu wa kawaida, nakumbuka kipindi akiwa mtoto aliwai kupiga kelele huku macho yake akiwa ameelekeza juu mawinguni na alikua akilalamika, Oneni jamani Mungu yuleee Mungu yulee yuko na mtoto wake, wamevaa mavazi meupe, oneni meza yao, ooh wanafunga mlango, na kisha akakaa kimia, huku mimi na majerani tukiwa tumemzunguuka tulijaribu kuangalia juu kipindi akipiga izo kelele ila atukuona kitu."
"Mwanangu sio mtu wa kawaida, nakumbuka kipindi akiwa mtoto aliwai kupiga kelele huku macho yake akiwa ameelekeza juu mawinguni na alikua akilalamika, Oneni jamani Mungu yuleee Mungu yulee yuko na mtoto wake, wamevaa mavazi meupe, oneni meza yao, ooh wanafunga mlango, na kisha akakaa kimia, huku mimi na majerani tukiwa tumemzunguuka tulijaribu kuangalia juu kipindi akipiga izo kelele ila atukuona kitu."