huwezi kua freemason kirahisi rahisi na sio kila mtu anaweza kua fremason,huyo nay hana uwezo wa kua freemason,hapa tanzania freemadon wapo 15 tu.
Wakati mwingine huyu jama anajfanyanga kama mweu hivi...atakuwa sio freemason wala nini ila kwa bongo ukionekana wewe freemason eti ndio mjanja...stupid...hata ukiangalia shooting yake moja hivi inakama midamu damu ...alafu giza..alama za mule ndani...atakuwa ameamua kujitoa ufahamuView attachment 225733View attachment 225734
Hata ningekuwa mie ndio mzazi ningeogopa kwa video zake za ajabu ajabu