Tetesi: Mama Mzazi wa Rais Kenyatta analipwa mshahara mkubwa licha ya kuwa hana cheo au mamlaka kwa Serikali

Tetesi: Mama Mzazi wa Rais Kenyatta analipwa mshahara mkubwa licha ya kuwa hana cheo au mamlaka kwa Serikali

Hivi kwanini wewe ni mjinga kiasi hicho?, mishahara yote ya wafanyakazi wa Kenya inatokana na kodi zinazokusanywa na KRA, hizo counties zinapewa pesa toka Hazina kuu ya Taifa, sasa kama hazina haina pesa za kutosha kupeleka ktk counties kama ilivyo huko Kenya, waalimu na manesi watalipwaje?, hakuna County hata moja huko Kenya yenye kulipa mishahara watumishi wake kwa pesa zao zitokanazo na mapato ya ndani, hujui lolote kuhusu nchi yako inavyoendeshwa, hovyo kabisa wewe, sikiliza huu mjadala wa watu wenye akili, anzia 28:30
Ndio manake nikakwambia uwache kujifanywa mjuaji...
Jukumu la kulipa manesi ni la serikali za county...
Mbna huaga waumia kihivo, hta km pesa zinatoka lkn km gavana wenu ni mpiga madili, basi mtaendelea kulia lia...

Usiforce vitu usivyovijua bana...manesi wengi wanapo uliza mishara huaga hawaitaji serikali kuu...

Utawaskia wakiuliza "vipi county haijatuwekea hela"
Then unafikiria counties huaga hazina revenues...

KENYA HUIJUI..NA UTAUMIA SANA KW KUJIFANYA UNAIJUA KENYA KUMBE HUJUI LOLOTE[emoji23][emoji23]
 
Hahahaha, nani ataamini kwamba Mama Ngina anapokea hiyo pesa, hapo wametaja kidogo sana, mama Ngina hupokea pesa nyingi zaidi ya Rais aliyepo madarakani, Kenya ni Mali ya "Kenyatta family ".

Tanzania tunaongoza Afrika katika " inclusiveness ", yaani kuhakikisha kwamba kidogo kinachopatikana tunagawana kwa uwiano ulio MZURI, sio wengine wapate kikubwa na wengine wapate kidogo. Hiyo ndio jamii ya watanzania inayojitahidi kupunguza pengo la wenye nacho, na wasio nacho.

Tukisema Tanzania ni nchi ya ujamaa ulidhani tunatania sio?, huo ndio maana halisi ya Ijumaa.
Mbona basi mna idadi kubwa ya maskini...
Hku middle class ndio balaa kabisa...
Sijui nani aliwaroga nynyi..
 
Mbona basi mna idadi kubwa ya maskini...
Hku middle class ndio balaa kabisa...
Sijui nani aliwaroga nynyi..
Hahahaha, 'Tanzania below poverty line is 22%, Kenya is 42%. Huku hakuna anayekufa njaa, wala anayeishi ktk slums, Unemployment rate Kenya is 48%, the highest in Africa, crime rate is the highest in Africa, endless strikes.
 
Hahahaha, 'Tanzania below poverty line is 22%, Kenya is 42%. Huku hakuna anayekufa njaa, wala anayeishi ktk slums, Unemployment rate Kenya is 48%, the highest in Africa, crime rate is the highest in Africa, endless strikes.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukweli haufichiki bana..nani asiyejua ya kwamba mnaongaza kw idadi ya maskini katika hili bara letu..
 
Ndio manake nikakwambia uwache kujifanywa mjuaji...
Jukumu la kulipa manesi ni la serikali za county...
Mbna huaga waumia kihivo, hta km pesa zinatoka lkn km gavana wenu ni mpiga madili, basi mtaendelea kulia lia...

Usiforce vitu usivyovijua bana...manesi wengi wanapo uliza mishara huaga hawaitaji serikali kuu...

Utawaskia wakiuliza "vipi county haijatuwekea hela"
Then unafikiria counties huaga hazina revenues...

KENYA HUIJUI..NA UTAUMIA SANA KW KUJIFANYA UNAIJUA KENYA KUMBE HUJUI LOLOTE[emoji23][emoji23]
Hujui lolote kuhusu counties administration, mwaka juzi madaktari walipogoma kwa siku 100, walikua wanaiomba serikali iwaongezee mishahara, sio counties government, Uhuru Kenyatta ndiye aliyekua anawaambia kama hawawezi kuendelea na Kazi atawafukuza, alituma Waziri wa Afya kuja Tanzania kuomba madaktari.

Mishahara ya watumishi wote nchi nzima hupangwa na kulipwa na serikali kuu, serikali za counties hupokea pesa na maelekezo ya malipo toka serikali kuu, counties wanachoweza ni kuomba idadi ya wafanyakazi wanaotaja kuajiri, wao ni kama paying desk la serikali kuu, jifunze zaidi kuhusu nchi yako.
 
Hahahaha, 'Tanzania below poverty line is 22%, Kenya is 42%. Huku hakuna anayekufa njaa, wala anayeishi ktk slums, Unemployment rate Kenya is 48%, the highest in Africa, crime rate is the highest in Africa, endless strikes.
Unemployment[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20191115-163537_Opera%20Mini%20beta~2.jpeg
 
Hujui lolote kuhusu counties administration, mwaka juzi madaktari walipogoma kwa siku 100, walikua wanaiomba serikali iwaongezee mishahara, sio counties government, Uhuru Kenyatta ndiye aliyekua anawaambia kama hawawezi kuendelea na Kazi atawafukuza, alituma Waziri wa Afya kuja Tanzania kuomba madaktari.

Mishahara ya watumishi wote nchi nzima hupangwa na kulipwa na serikali kuu, serikali za counties hupokea pesa na maelekezo ya malipo toka serikali kuu, counties wanachoweza ni kuomba idadi ya wafanyakazi wanaotaja kuajiri, wao ni kama paying desk la serikali kuu, jifunze zaidi kuhusu nchi yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hujui chochote jomba...
Madaktari kenya wako na chama lao..
Hapa tunaongelea manesi jomba...wacha kuruka ruka...
Ndio manake utaskia manesi wa county flani wamegoma lkn wa mombasa na nairobi bado wanapiga kazi...tofauti na madaktari...

Km hujui kitu si uulize uambiwe bana...ujuaji mbaya kwel..

Unajua kwnn sai nurses wako na joint strike kenya nzima?
Ingia kumi na nane sasa nakusubiria
 
Waache uchawi wakaache kabibi ka watu kale nchi hamuwezi jua ni kwa namna gani kana mchango wa ujenzi wa kenya kupitia mzee jomo kenyatta,si wanazisifiaga barabara zao wacha watafune hizo barabara zao mamba chotara hawa
 
Hujui lolote kuhusu counties administration, mwaka juzi madaktari walipogoma kwa siku 100, walikua wanaiomba serikali iwaongezee mishahara, sio counties government, Uhuru Kenyatta ndiye aliyekua anawaambia kama hawawezi kuendelea na Kazi atawafukuza, alituma Waziri wa Afya kuja Tanzania kuomba madaktari.

Mishahara ya watumishi wote nchi nzima hupangwa na kulipwa na serikali kuu, serikali za counties hupokea pesa na maelekezo ya malipo toka serikali kuu, counties wanachoweza ni kuomba idadi ya wafanyakazi wanaotaja kuajiri, wao ni kama paying desk la serikali kuu, jifunze zaidi kuhusu nchi yako.
Counties kitu wanchopewa ni pesa tu, mambo mengine wanajifanyia wenywe jomba...mbna wajiumiza jamani
[/URL]
 
Uyo bibi yao anakunja pesa nzuri sana,Kama mke wa JK anapewa tsh 800k yafaa aongezewe
 
Waache uchawi wakaache kabibi ka watu kale nchi hamuwezi jua ni kwa namna gani kana mchango wa ujenzi wa kenya kupitia mzee jomo kenyatta,si wanazisifiaga barabara zao wacha watafune hizo barabara zao mamba chotara hawa

Hah Hah. Inaonesha jinsi wa-Kenya wanavyopigika kiuchumi, ajira, umasikini, njaa na maradhi.

Hawana heshima kabisa kwa Mama wa Taifa la Kenya . Maana kama Mzee Jomo Kenyatta wanamwita Baba wa Taifa la Kenya, iweje wasitoe heshima kwa Mama Ngina . Njaa mbaya sana hizo shillingi za heshima kiduchu hawawezi kufananisha na ufisadi lukuki wa magavana wa makabila yao ktk kila County.
 
Muacheni MAMA NGINA afaidi matunda ya uhuru
Analipwa sio sababu ya kuwa mama wa Uhuru, bali kwakuwa alikuwa mke wa raisi wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta.
Wamesema hapo hiyo pesa kaanza kulipwa kabla ya mwanawe Uhuru kuwa raisi wa Kenya.
 
Analipwa sio sababu ya kuwa mama wa Uhuru, bali kwakuwa alikuwa mke wa raisi wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta.
Wamesema hapo hiyo pesa kaanza kulipwa kabla ya mwanawe Uhuru kuwa raisi wa Kenya.
Umeshindwaje kunielewa?
 
Back
Top Bottom