DOKEZO Mama na mtoto wadaiwa kufa hosptalini Kimara kwa uzembe wa watoa huduma

DOKEZO Mama na mtoto wadaiwa kufa hosptalini Kimara kwa uzembe wa watoa huduma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hii nchi inazidi kuoza tu hii imenisikitisha sana

MJAMZITO AFARIKI KATIKA MAZINGIRA YA UTATA KITUO CHA AFYA MBEZI YA KIMARA, DAR ES SALAAM!

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Ndugu yetu Elizabeth Jonas Muyugi wa Kimara Temboni alikuwa ni mjamzito. Jana, 9 Agosti 2024 alifika Kituo cha Afya Mbezi tangu saa 2 asubuhi akiwa mzima wa afya. Alikuwa na dalili za uchungu wa kujifungua ndipo alifika Kituo cha Afya ambapo alikuwa akihudhuria Clinic. Picha hii alipigwa jana mchana akiwa Kituo cha Afya Mbezi.

Hadi saa 6 usiku, alikuwa mzima, lakini ilipofika saa 6.30 usiku, ndugu waliomba kuwa kama imeshindikana wamhamishe hospitali kwenda hospitali kubwa. Ilipofika saa 9 usiku mama wa Elizabeth aliiona Ambulance (gari la wagonjwa) na ilikaa muda mrefu wakiwa na mjadala wa wauguzi na baadaye ikaondoka bila ya kubeba mtu. Saa 12 asubuhi, ilifika tena ambulance na ikaondoka bila mgonjwa. Lakini baada ya hapo, mume wa Elizabeth alitaka kujua juu ya hali ya mgonjwa. Muuguzi alijibu kuwa yupo safi hana changamoto yeyote. Saa 12 asubuhi, mama alitaka kupeleka chai wamkazuia. Lakini muda mchache baadaye tukapewa taarifa ya kuwa Elizabeth amefariki dunia.

Aliitwa daktari bingwa kufanya utenganishaji wa mama na mtoto. Wamefanya hapa na ndipo daktari akaita ndugu kutueleza kwamba report (taarifa ya kitabu) yake inaonesha kuwa hakuna shida yoyote. Sisi tunahisi mgonjwa alifariki mapema na ndiyo maana Ambulance iliondoka bila kubeba mgonjwa.

Wauguzi wa Kituo hiki walipoulizwa walifanya jitihada gani kuokoa mtoto au kutenganisha na mama, walisema kuwa hawana experience (ujuzi) ya kumukoa mtoto. Sisi tunaona kuna uzembe. Hawa hawana chumba cha upasuaji, hawana wataalamu, Kituo ni kidogo. Wanakiri kuwa kuna uzembe umefanyika lakini hawatoi majibu ya kueleweka kwani ni Kituo cha Afya ambacho hakina wataalamu. Lakini ni kwa nini waliendelea kukaa na mgonjwa wakati walijua kuwa hawana wataalam wanakuwa kimya.

Daktari Mkuu kafika muda huu ametenganisha mtoto na mama ambao wote ni marehemu. Na wanasema kuwa kesi hii hawajawahi kukutana nayo. Mgonjwa hakuishiwa damu, hakuwa na pressure, protine kwa mkojo ilikuwa safi, nk. Tunajiuliza ni wangapi wanakufa kwa staili hii? Mtoto pia amekufa kwa kuondolewa tumboni muda huu.

Ni dhahiri kuwa hatuwezi kuurudisha uhai wa Elizabeth wetu sasa hivi, lakini tunataka serikali iweke vitendea kazi na madaktari bingwa huku ili Watanzania wengi wasipoteze uhai kesho, na siku zijazo. Kinatuumiza ni kuwa, Elizabeth pia aliomba kama haiwezekani hapa basi apelekwe hospitali yeyote akafanyiwe upasuaji lakini pia hawakumsikiliza. Ombi lake lilitolewa mapema sana. Huo ni uzembe wa hali ya juu.

Muda huu tunaelekea Mlonganzila kupeleka mwili wa Elizabeth na mwili wa mtoto wake.

Ni mimi nduguye Elizabeth!
Mbezi, Dar es Salaam; 10 Agosti 2024

Ndugu Watanzania!
Taarifa hii inasikitisha sana kwa upande wetu, sisi Askofu Mwamakula tunaomba mamlaka husika kufanya uchunguzi wa tukio hili kubaini ukweli wa hisia zilizotolewa na ndugu juu ya kifo hicho ili kuchukua hatua zaidi kwa ajili ya kuboresha utendaji wa Kituo hicho na kuokoa maisha ya watu wengine siku zijazo. Lakini pia tunasisitiza ndugu wa marehemu, wasikilizwe kuhusu kilichotokea sambamba na kuwahoji pia wauguzi au waganga wa Kituo hicho.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 10 Agosti 2024; saa 8:40 alasiri
 
Nimesoma hii habari nikapanda juu kuangalia tarehe, unajua kwanini? Kwasababu nilihisi nishaisoma. Maanake nini? Ni kwamba haya matukio yanajirudia kila siku na hakuna mabadiliko yoyote. Hii nchi imeoza.
 
Hatari sana, halafu kuna mtu anatembelea gari la serikali lenye thamani sawa na kuweka daktari bingwa, chumba cha upasuaji na vifaa vyake.
Kuna mtu ameshapiga sana hizo hela zenye thamani sawa na kituo cha kisasa cha Afya chenye wataalam na vifaa vya kisasa.

Matukio mangapi kama haya yanatokea? ndio vile tu watu wako kimya, atakuja mtu hapa kukwambia hata USA watu wanakufa.
 
Hii nchi inazidi kuoza tu hii imenisikitisha sana

MJAMZITO AFARIKI KATIKA MAZINGIRA YA UTATA KITUO CHA AFYA MBEZI YA KIMARA, DAR ES SALAAM!

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Ndugu yetu Elizabeth Jonas Muyugi wa Kimara Temboni alikuwa ni mjamzito. Jana, 9 Agosti 2024 alifika Kituo cha Afya Mbezi tangu saa 2 asubuhi akiwa mzima wa afya. Alikuwa na dalili za uchungu wa kujifungua ndipo alifika Kituo cha Afya ambapo alikuwa akihudhuria Clinic. Picha hii alipigwa jana mchana akiwa Kituo cha Afya Mbezi.
RIP Lizy
najiuliza Baba Askofu ni mmiliki wa kituo cha afya!
 
Nimesoma hii habari nikapanda juu kuangalia tarehe, unajua kwanini? Kwasababu nilihisi nishaisoma. Maanake nini? Ni kwamba haya matukio yanajirudia kila siku na hakuna mabadiliko yoyote. Hii nchi imeoza.
Nchi haijaoza mkuu bali walio na mamlaka ya kuongoza nchi ndio hao waliooza yaani hawasikii ,hawaoni na vile vile hawajali.
 
Hatari sana, halafu kuna mtu anatembelea gari la serikali lenye thamani sawa na kuweka daktari bingwa, chumba cha upasuaji na vifaa vyake.
Kuna mtu ameshapiga sana hizo hela zenye thamani sawa na kituo cha kisasa cha Afya chenye wataalam na vifaa vya kisasa.

Matukio mangapi kama haya yanatokea? ndio vile tu watu wako kimya, atakuja mtu hapa kukwambia hata USA watu wanakufa.
na kumlipa juu
 
Hii nchi inazidi kuoza tu hii imenisikitisha sana

MJAMZITO AFARIKI KATIKA MAZINGIRA YA UTATA KITUO CHA AFYA MBEZI YA KIMARA, DAR ES SALAAM!

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Ndugu yetu Elizabeth Jonas Muyugi wa Kimara Temboni alikuwa ni mjamzito. Jana, 9 Agosti 2024 alifika Kituo cha Afya Mbezi tangu saa 2 asubuhi akiwa mzima wa afya. Alikuwa na dalili za uchungu wa kujifungua ndipo alifika Kituo cha Afya ambapo alikuwa akihudhuria Clinic. Picha hii alipigwa jana mchana akiwa Kituo cha Afya Mbezi.

Hadi saa 6 usiku, alikuwa mzima, lakini ilipofika saa 6.30 usiku, ndugu waliomba kuwa kama imeshindikana wamhamishe hospitali kwenda hospitali kubwa. Ilipofika saa 9 usiku mama wa Elizabeth aliiona Ambulance (gari la wagonjwa) na ilikaa muda mrefu wakiwa na mjadala wa wauguzi na baadaye ikaondoka bila ya kubeba mtu. Saa 12 asubuhi, ilifika tena ambulance na ikaondoka bila mgonjwa. Lakini baada ya hapo, mume wa Elizabeth alitaka kujua juu ya hali ya mgonjwa. Muuguzi alijibu kuwa yupo safi hana changamoto yeyote. Saa 12 asubuhi, mama alitaka kupeleka chai wamkazuia. Lakini muda mchache baadaye tukapewa taarifa ya kuwa Elizabeth amefariki dunia.

Aliitwa daktari bingwa kufanya utenganishaji wa mama na mtoto. Wamefanya hapa na ndipo daktari akaita ndugu kutueleza kwamba report (taarifa ya kitabu) yake inaonesha kuwa hakuna shida yoyote. Sisi tunahisi mgonjwa alifariki mapema na ndiyo maana Ambulance iliondoka bila kubeba mgonjwa.

Wauguzi wa Kituo hiki walipoulizwa walifanya jitihada gani kuokoa mtoto au kutenganisha na mama, walisema kuwa hawana experience (ujuzi) ya kumukoa mtoto. Sisi tunaona kuna uzembe. Hawa hawana chumba cha upasuaji, hawana wataalamu, Kituo ni kidogo. Wanakiri kuwa kuna uzembe umefanyika lakini hawatoi majibu ya kueleweka kwani ni Kituo cha Afya ambacho hakina wataalamu. Lakini ni kwa nini waliendelea kukaa na mgonjwa wakati walijua kuwa hawana wataalam wanakuwa kimya.

Daktari Mkuu kafika muda huu ametenganisha mtoto na mama ambao wote ni marehemu. Na wanasema kuwa kesi hii hawajawahi kukutana nayo. Mgonjwa hakuishiwa damu, hakuwa na pressure, protine kwa mkojo ilikuwa safi, nk. Tunajiuliza ni wangapi wanakufa kwa staili hii? Mtoto pia amekufa kwa kuondolewa tumboni muda huu.

Ni dhahiri kuwa hatuwezi kuurudisha uhai wa Elizabeth wetu sasa hivi, lakini tunataka serikali iweke vitendea kazi na madaktari bingwa huku ili Watanzania wengi wasipoteze uhai kesho, na siku zijazo. Kinatuumiza ni kuwa, Elizabeth pia aliomba kama haiwezekani hapa basi apelekwe hospitali yeyote akafanyiwe upasuaji lakini pia hawakumsikiliza. Ombi lake lilitolewa mapema sana. Huo ni uzembe wa hali ya juu.

Muda huu tunaelekea Mlonganzila kupeleka mwili wa Elizabeth na mwili wa mtoto wake.

Ni mimi nduguye Elizabeth!
Mbezi, Dar es Salaam; 10 Agosti 2024

Ndugu Watanzania!
Taarifa hii inasikitisha sana kwa upande wetu, sisi Askofu Mwamakula tunaomba mamlaka husika kufanya uchunguzi wa tukio hili kubaini ukweli wa hisia zilizotolewa na ndugu juu ya kifo hicho ili kuchukua hatua zaidi kwa ajili ya kuboresha utendaji wa Kituo hicho na kuokoa maisha ya watu wengine siku zijazo. Lakini pia tunasisitiza ndugu wa marehemu, wasikilizwe kuhusu kilichotokea sambamba na kuwahoji pia wauguzi au waganga wa Kituo hicho.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 10 Agosti 2024; saa 8:40 alasiri
Hospitali za tanzania usipokuwa makini kufuatilia linakukuta la kukukuta
 
Hicho kituo cha Mbezi kina mapungufu Mengi sana ya kutoa huduma,kuna mama alifika hapo mida ya saa 6 usiku kupata huduma maana alikuwa na mtoto mchanga alishikwa na ugonjwa ghafla.....lakini hawakupata huduma yeyote waliamua kurudi nyumbani na hapo walikuwa wametoka maeneo ya Kontena....sasa kama kituo kipo na hakitoi huduma stahiki kuna umuhimu gani wa kuwepo!!!!!
 
hapa ndiyo maana watu huamua kuchukua sheria mkononi kutokana na uzembe wenye kupelekea kupoteza maisha ya watu kufanywa kuwa ni jambo la kawaida na watoa huduma za afya, inasikitisha sana.
 
Hii nchi inazidi kuoza tu hii imenisikitisha sana

MJAMZITO AFARIKI KATIKA MAZINGIRA YA UTATA KITUO CHA AFYA MBEZI YA KIMARA, DAR ES SALAAM!

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Ndugu yetu Elizabeth Jonas Muyugi wa Kimara Temboni alikuwa ni mjamzito. Jana, 9 Agosti 2024 alifika Kituo cha Afya Mbezi tangu saa 2 asubuhi akiwa mzima wa afya. Alikuwa na dalili za uchungu wa kujifungua ndipo alifika Kituo cha Afya ambapo alikuwa akihudhuria Clinic. Picha hii alipigwa jana mchana akiwa Kituo cha Afya Mbezi.

Hadi saa 6 usiku, alikuwa mzima, lakini ilipofika saa 6.30 usiku, ndugu waliomba kuwa kama imeshindikana wamhamishe hospitali kwenda hospitali kubwa. Ilipofika saa 9 usiku mama wa Elizabeth aliiona Ambulance (gari la wagonjwa) na ilikaa muda mrefu wakiwa na mjadala wa wauguzi na baadaye ikaondoka bila ya kubeba mtu. Saa 12 asubuhi, ilifika tena ambulance na ikaondoka bila mgonjwa. Lakini baada ya hapo, mume wa Elizabeth alitaka kujua juu ya hali ya mgonjwa. Muuguzi alijibu kuwa yupo safi hana changamoto yeyote. Saa 12 asubuhi, mama alitaka kupeleka chai wamkazuia. Lakini muda mchache baadaye tukapewa taarifa ya kuwa Elizabeth amefariki dunia.

Aliitwa daktari bingwa kufanya utenganishaji wa mama na mtoto. Wamefanya hapa na ndipo daktari akaita ndugu kutueleza kwamba report (taarifa ya kitabu) yake inaonesha kuwa hakuna shida yoyote. Sisi tunahisi mgonjwa alifariki mapema na ndiyo maana Ambulance iliondoka bila kubeba mgonjwa.

Wauguzi wa Kituo hiki walipoulizwa walifanya jitihada gani kuokoa mtoto au kutenganisha na mama, walisema kuwa hawana experience (ujuzi) ya kumukoa mtoto. Sisi tunaona kuna uzembe. Hawa hawana chumba cha upasuaji, hawana wataalamu, Kituo ni kidogo. Wanakiri kuwa kuna uzembe umefanyika lakini hawatoi majibu ya kueleweka kwani ni Kituo cha Afya ambacho hakina wataalamu. Lakini ni kwa nini waliendelea kukaa na mgonjwa wakati walijua kuwa hawana wataalam wanakuwa kimya.

Daktari Mkuu kafika muda huu ametenganisha mtoto na mama ambao wote ni marehemu. Na wanasema kuwa kesi hii hawajawahi kukutana nayo. Mgonjwa hakuishiwa damu, hakuwa na pressure, protine kwa mkojo ilikuwa safi, nk. Tunajiuliza ni wangapi wanakufa kwa staili hii? Mtoto pia amekufa kwa kuondolewa tumboni muda huu.

Ni dhahiri kuwa hatuwezi kuurudisha uhai wa Elizabeth wetu sasa hivi, lakini tunataka serikali iweke vitendea kazi na madaktari bingwa huku ili Watanzania wengi wasipoteze uhai kesho, na siku zijazo. Kinatuumiza ni kuwa, Elizabeth pia aliomba kama haiwezekani hapa basi apelekwe hospitali yeyote akafanyiwe upasuaji lakini pia hawakumsikiliza. Ombi lake lilitolewa mapema sana. Huo ni uzembe wa hali ya juu.

Muda huu tunaelekea Mlonganzila kupeleka mwili wa Elizabeth na mwili wa mtoto wake.

Ni mimi nduguye Elizabeth!
Mbezi, Dar es Salaam; 10 Agosti 2024

Ndugu Watanzania!
Taarifa hii inasikitisha sana kwa upande wetu, sisi Askofu Mwamakula tunaomba mamlaka husika kufanya uchunguzi wa tukio hili kubaini ukweli wa hisia zilizotolewa na ndugu juu ya kifo hicho ili kuchukua hatua zaidi kwa ajili ya kuboresha utendaji wa Kituo hicho na kuokoa maisha ya watu wengine siku zijazo. Lakini pia tunasisitiza ndugu wa marehemu, wasikilizwe kuhusu kilichotokea sambamba na kuwahoji pia wauguzi au waganga wa Kituo hicho.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 10 Agosti 2024; saa 8:40 alasiri
Pale huwa hakuna la maana mwaka 2017 nilimpigia kibao nesi mlevi alikuwa amelewa hadi hajielewi alitaka kumuua mwanangu mbwa yule bado nammaidi sana mbwa yule ,nikaondoka na mwendo mkali hadi Bosch hospitali

USSR
 
Haya yanatokea kwenye jiji,
sasa huko vijijini bila shaka watu wanazikwa kila siku kutokana na huduma mbaya za afya.

#Pongezi kwa mama
 
Back
Top Bottom