NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Nimeona nitoe taaluma hapa kusaidia jamii
Ukilala usiku hasa hasa kama nyumba haina madirisha ya kuingiza hewa ya kutosha kisha ukaingiza jiko la mkaa kinachotokea ni kwamba hewa ya oxygen iliyopo chumbani ina react na mkaa na kutokea hewa ya carbon dioxide
C + O2 = CO2
hii carbon dioxide inajaa chumbani inazidi nguvu oxygen sasa hii carbon dioxide ina react tena na mkaa na kutengeneza hewa ya sumu isiyo na harufu ya carbon monoxide
C + CO2 = 2CO
hii carbon monoxide kwa vile ina bond moja tu au tuseme C-O inaingia kwenye mapafu na kupambana na chembe nyekundu za damu zinaitwa oxyhaemoglobin na kufanya binding hivyo damu inashindwa kufanya kazi yake iliyokusudiwa hivyo matokeo yake ni kifo.
Uzuri au ubaya wa kifo chake ni kwamba unakufa huku unajiona kabisa unajisikia mchovu na unajiwa na wazo unyanyuke ufungue mlango lakini unakuwa huwezi unajisikia raha sana kuendelea kulala na hapo ndio kifo kinapokupata sasa
Tukio hili limetokea Kagera usiku wa kuamkia 30th Jan 2025
Chanzo Mwananchi 30th Jan 2025
Ukilala usiku hasa hasa kama nyumba haina madirisha ya kuingiza hewa ya kutosha kisha ukaingiza jiko la mkaa kinachotokea ni kwamba hewa ya oxygen iliyopo chumbani ina react na mkaa na kutokea hewa ya carbon dioxide
C + O2 = CO2
hii carbon dioxide inajaa chumbani inazidi nguvu oxygen sasa hii carbon dioxide ina react tena na mkaa na kutengeneza hewa ya sumu isiyo na harufu ya carbon monoxide
C + CO2 = 2CO
hii carbon monoxide kwa vile ina bond moja tu au tuseme C-O inaingia kwenye mapafu na kupambana na chembe nyekundu za damu zinaitwa oxyhaemoglobin na kufanya binding hivyo damu inashindwa kufanya kazi yake iliyokusudiwa hivyo matokeo yake ni kifo.
Uzuri au ubaya wa kifo chake ni kwamba unakufa huku unajiona kabisa unajisikia mchovu na unajiwa na wazo unyanyuke ufungue mlango lakini unakuwa huwezi unajisikia raha sana kuendelea kulala na hapo ndio kifo kinapokupata sasa
Chanzo Mwananchi 30th Jan 2025