Hakuna mtu anakataa kwamba spika wetu anajua sheria lakini hafanyi kazi nzuri kusaidia serikali. Mfano kwenye huu mkataba angetakiwa kushauri kubadilisha hii MOU kwenye sehemu hizi
1. MOU iwe ya bandari ya Dar na sio nchi
2. Zanzibar ihusike kwenye MOU
3. Mgao wa mapato uwekwe wazi
4. Anga yetu isihusishwe na MOU ya bandari
5. Kusiwe na zuio la kuongea na kampuni zingine kabla ya DP world kwenye bandari zingine
6. MOU iwe Tanzania na UAE sio Tanzania na Dubai!
7. MOU iwe na muda maalumu
Je kuna mtu mwenye akili zake anakataa haya🤔
Mdoli mwingine ni mwana sheria mkuu mbona hata kwenye forums iliyowekwa ya wafanyabiashara wakina zitto, lemma na Rostam mbona hajatokea! Je msimamo wake wa MOU ni upi?
1. MOU iwe ya bandari ya Dar na sio nchi
2. Zanzibar ihusike kwenye MOU
3. Mgao wa mapato uwekwe wazi
4. Anga yetu isihusishwe na MOU ya bandari
5. Kusiwe na zuio la kuongea na kampuni zingine kabla ya DP world kwenye bandari zingine
6. MOU iwe Tanzania na UAE sio Tanzania na Dubai!
7. MOU iwe na muda maalumu
Je kuna mtu mwenye akili zake anakataa haya🤔
Mdoli mwingine ni mwana sheria mkuu mbona hata kwenye forums iliyowekwa ya wafanyabiashara wakina zitto, lemma na Rostam mbona hajatokea! Je msimamo wake wa MOU ni upi?