Mama nimeathirika mama....

Mama nimeathirika mama....

Desire Dizaya

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2015
Posts
6,476
Reaction score
11,659
Kijana: halloo mama[emoji22]

Mama: john mwanangu[emoji2]..hujambo baba?

Kijana: mama siko sawa..miezi michache ilopita nligundua nimeambukizwa ukimwi,nsamehe mamangu nataka nirudi nyumbani mamangu

Mama: [emoji33][emoji32][emoji32][emoji32] mwanangu usirudi nyumbani mwanangu,usirudi!

Kijana:kwanini mama?..sina pa kwenda zaidi ya nyumbani mama

Mama: mwanangu usije mwanangu..ukija hapa utamwambukiza make wako..mke wako naee atamwambukiza mdogo ako james..James nae akiupata atamwmbukiza hausigeli...hausigeli akiupata atamwambukiza babako...babako ataniambukiza Mimi...na Mimi nkiupata ntamwambukiza houseboi....
Hausiboi atamwambukiza dadako...na dadako nae akiupata basi mtaa wooote umekwisha..

Mwanangu usirudi mwanangu...kaa hukohuko hadi ukifa tutakuzika ....
 
Iliendelea hivi,
Kijana: basi mama nije nikutie wewe.
Mama: hapo kidogo mwanangu sawa. Njoo tu.
 
Kijana: halloo mama[emoji22]

Mama: john mwanangu[emoji2]..hujambo baba?

Kijana: mama siko sawa..miezi michache ilopita nligundua nimeambukizwa ukimwi,nsamehe mamangu nataka nirudi nyumbani mamangu

Mama: [emoji33][emoji32][emoji32][emoji32] mwanangu usirudi nyumbani mwanangu,usirudi!

Kijana:kwanini mama?..sina pa kwenda zaidi ya nyumbani mama

Mama: mwanangu usije mwanangu..ukija hapa utamwambukiza make wako..mke wako naee atamwambukiza mdogo ako james..James nae akiupata atamwmbukiza hausigeli...hausigeli akiupata atamwambukiza babako...babako ataniambukiza Mimi...na Mimi nkiupata ntamwambukiza houseboi....
Hausiboi atamwambukiza dadako...na dadako nae akiupata basi mtaa wooote umekwisha..

Mwanangu usirudi mwanangu...kaa hukohuko hadi ukifa tutakuzika ....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom