Sweeeeet!!!
Kwelii hamna mwingine kama mama....too bad wengine hawajawahi kupata na kufurahia uwepo wa mama zao!!
HAPPY MOTHERS DAY TO ALL THE MOTHERS OF JF!!YOU ARE ALL APPRECIATED!!!:A S-baby:
NOW.....Back to reality......
hahahahahhahah lol
wewe na kesi
uliniambia nisimwambie ,
halafu we ukamwambia mmmhhh
ngoja nika lale nikiamka .. tuyache hapo hapo..
Yeahhh back to reality mama.....
Nna hamu ya kuongea na wewe....embu nicheki unigombeze kabla hujalala!!Mi leo nakesha!!!
Hakuna mwingine kama baba...Sweeeeet!!!
Kwelii hamna mwingine kama mama....too bad wengine hawajawahi kupata na kufurahia uwepo wa mama zao!!
HAPPY MOTHERS DAY TO ALL THE MOTHERS OF JF!!YOU ARE ALL APPRECIATED!!!:A S-baby:
Ukimaliza kungombezana na bi shosti tutakutana kwenye threads mana malengo yafanana ...LOL
Hakuna mwingine kama baba...
Heheheh...na wewe unakesha kisa nini mami???Mzee D kama sijakosea atanuna alafu wale mabachela niishie kuwasikia redioni!
Nisha mpatia vyake si unajua mi am all energy yeye katoka kazini alafu uchanganye na shuguli ya humu ndani .....
Lizzy yamenishinda nahitajika ten, G9t and enjoy....
MAMA UNASTAHILI ZAIDI YA HILI NENO NAKUPENDA,
NA NI MTU MUHIMU SANA KATIKA MAISHA YANGU YOTE,
MPAKA MWISHO WA PUMZI YENGU..............
NI MZAZI PEKEE ASIYEHITAJI DNA TEST..........lol
KSB MAMA NI MZAZI NA MLEZI, LAKIN BABA NI MLEZI TU,
MAMA HATA AKIZAA WATOTO 50 WOTE NI WA KWAKE,
LAKIN BABA mmh!! watatu tu ulakini ndani yake...........lol (natania tu jamani wababa msianze kuwachunguza watoto wenu nyuso zao )
Umewahi mno na wewe kha?! Muda bado ha ha ha usininukuu taf. Busa-manguree @work