Mama N'tilie kuweni wasafi, mnawaharibia wenzenu

Mama N'tilie kuweni wasafi, mnawaharibia wenzenu

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Nitangulize angalizo, sio wote wasiozingatia usafi, naamini ni 6% ndo wanawaharibia wenzao!

Ngoja niwape story. Nyakati za alfajiri nimemsindikiza bonge wangu kuelekea ubungo kwa wifi yake akae huko ili kesho kutwa aelekee Kibaha!

Wakati narejea nyumbani, muda ule nimeshuka kwenye daladala (wakuu mimi sina gari [emoji16]) nikaona bora nipate kifungua kinywa, maake kwangu gesi imekata! Nikaangaza chocho kwa chocho nikakutana na migahawa miwili imeungana, moja lina sister pic qal ndani na la pili lina mama mtu mzima, halafu juu ya kimeza chake kuna deli la maandazi [emoji39][emoji39]

Sijui ilikuwaje nikajikuta kwenye kimgahawa cha mwana mama kuyafuata yale maandazi pasi na kufikiria kuhusu utelezi kule kwa yule mwanadada [emoji848]

Nimeagiza zangu mindazi minne ya 150 150 na chai ya 200 pale, nikaanza kuibugia (wakuu, mi sina hela nyingi [emoji23][emoji23] mi mtanzania halisi na chembe chembe za uswazi, siku mkiskia eti nikapaki Range langu pale darajani, naomba replies za chai ziwe nyingi sana hadi nikimbie ID [emoji23])

Andazi la kwanza lilikuwa swadakta, yaliyofuata sasa ni matatizo, kama vile yananukia mafua! Moja kwa moja nikajisemea kimoyo moyo kuwa lazima tumbo liniume tu iwe isiwe, kwa hiyo nikaendelea kula huku nikiwaza box langu la frajil nimeliweka wapi?

Ghafla kitoto kinachotambaa kikatoka huko nje na mafua mengi yametapakaa uso mzima halafu michirizi (source) iliyokolea kutokea puani! Yule mwanamama alikuwa akisukuma nchapati [emoji16][emoji16] akamwita mwanae, akamsuuza lile fua na maji tiririka, halafu akasuuza mikono pasipo sabuni, akanitizama kama namwangalia, akajua simuoni, akaitupa mikono ndani ya kando la ngano ili kuchanganya mchanganyiko ule maridadi! Lilikuwa limebaki andazi moja nikaamua kuliacha pale, nikapita sokoni kununua ndimu 2 kwa ajili ya kukata kichefuchefu! Nimetembea barabara nzima kama mjamzito! Duh!

Wachache wenu jitahidini kuwa wasafi bhana!

Wengine hatuna uwezo wa ku attend hotel za wahudumu model wanaovaa sare na vi note books mkononi!

Kule chapati ya 400 ni Tsh 1300

Chai ya maziwa ya 500, kule 1500

Tuhurumiane wapishi!
 
Mafua ya mtoto kinyaa eti uchafu, lkn kwa huyo Bonge wako uliemtorosha alfajiri kama mkimbizi wa burundi, umemfyonza na kuramba/kupiga deki mtaro wooote kwa ulimi, kama haitoshi ukazama na chumvini huku yy bonge aki kandamiza bichwa lako deep zaidi, hukuona kinyaa uchafu,
Ni wazi kuwa dunia si mahali salama pa kupata haki"
 
Hivi jamani, kamasi za mtoto mdogo na ule ute ute au urojo unaotoka kwenye mbususu upi ni kinyaa,?Na sijui kama hukumpiga deki akiwa mwezini.
 
Hivi jamani, kamasi za mtoto mdogo na ule ute ute au urojo unaotoka kwenye mbususu upi ni kinyaa,?Na sijui kama hukumpiga deki akiwa mwezini.
Uchafu wowote ukishapigwa na upepo kwa muda zaidi ya dk 1 kabla ya kubeing processed, unatia kinyaa! Ndo maana ukiwa unamla denda bibie hupati kinyaa, ila shida ateme mate yake kwenye glass upigwe na upepo halafu akupe unywe, huwezi kunywa!
 
Nitangulize angalizo, sio wote wasiozingatia usafi, naamini ni 6% ndo wanawaharibia wenzao!

Ngoja niwape story. Nyakati za alfajiri nimemsindikiza bonge wangu kuelekea ubungo kwa wifi yake akae huko ili kesho kutwa aelekee Kibaha!

Wakati narejea nyumbani, muda ule nimeshuka kwenye daladala (wakuu mimi sina gari [emoji16]) nikaona bora nipate kifungua kinywa, maake kwangu gesi imekata! Nikaangaza chocho kwa chocho nikakutana na migahawa miwili imeungana, moja lina sister pic qal ndani na la pili lina mama mtu mzima, halafu juu ya kimeza chake kuna deli la maandazi [emoji39][emoji39]

Sijui ilikuwaje nikajikuta kwenye kimgahawa cha mwana mama kuyafuata yale maandazi pasi na kufikiria kuhusu utelezi kule kwa yule mwanadada [emoji848]

Nimeagiza zangu mindazi minne ya 150 150 na chai ya 200 pale, nikaanza kuibugia (wakuu, mi sina hela nyingi [emoji23][emoji23] mi mtanzania halisi na chembe chembe za uswazi, siku mkiskia eti nikapaki Range langu pale darajani, naomba replies za chai ziwe nyingi sana hadi nikimbie ID [emoji23])

Andazi la kwanza lilikuwa swadakta, yaliyofuata sasa ni matatizo, kama vile yananukia mafua! Moja kwa moja nikajisemea kimoyo moyo kuwa lazima tumbo liniume tu iwe isiwe, kwa hiyo nikaendelea kula huku nikiwaza box langu la frajil nimeliweka wapi?

Ghafla kitoto kinachotambaa kikatoka huko nje na mafua mengi yametapakaa uso mzima halafu michirizi (source) iliyokolea kutokea puani! Yule mwanamama alikuwa akisukuma nchapati [emoji16][emoji16] akamwita mwanae, akamsuuza lile fua na maji tiririka, halafu akasuuza mikono pasipo sabuni, akanitizama kama namwangalia, akajua simuoni, akaitupa mikono ndani ya kando la ngano ili kuchanganya mchanganyiko ule maridadi! Lilikuwa limebaki andazi moja nikaamua kuliacha pale, nikapita sokoni kununua ndimu 2 kwa ajili ya kukata kichefuchefu! Nimetembea barabara nzima kama mjamzito! Duh!

Wachache wenu jitahidini kuwa wasafi bhana!

Wengine hatuna uwezo wa ku attend hotel za wahudumu model wanaovaa sare na vi note books mkononi!

Kule chapati ya 400 ni Tsh 1300

Chai ya maziwa ya 500, kule 1500

Tuhurumiane wapishi!
Sasa bora hata huyo

Mimi kuna mgahawa mmoja(wa uswazi lakini) kuna siku nimeingia kuulizia chai na chapati nikakuta pako kimya then kuna mtoto mdogo wa miaka mitano anacheza nikamuuliza wahusika wako wapi ?

Kale katoto bila hiyana kakajibu "mama yuko chooni anakunya msubiri "[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakati nataka kuondoka akaja huyo mama anatokea huko uani mikono imeloa maji akauliza nahitaji nini nikamwambia nahitaji chai na chapati akafungua hotpot ya chapati akazishika na mikono yake yenye ubichi wa maji maji akashika akaweka kwenye sahani na kuniwekea mezani[emoji1787][emoji1787]

Sikumbuki kama nilikula hizo chapati ila nnachokumbuka nilimlipa nikajifanya nimepokea simu ya dharura ntarudi anitunzie chapati zangu nikapita hivi.

Binafsi napenda kula kwa mama ntilie sababu ya uchumi wangu mdogo ila sometimes changamoto za huko zinanifanya niingie hotels za kina flani ambapo bei za vyakula ziko juu.!

Moja ya changamoto za mama ntilie ni kushika vitafunwa kwa mikono tena hata bila kunawa, kuhudumiwa na mdada muda wote amechome toothpick mdomoni (sipendi mtu wa kuweka toothpick mdomoni masaa yote)
Uchafu kama mainzi mengi yamezagaa kama nyuki, wahudumu wachafu akikusogelea ananuka, nk.

Japo sio mama ntilie wote wachafu wapo wanaojielewa wanajua usafi ni nini
 
Hivi jamani, kamasi za mtoto mdogo na ule ute ute au urojo unaotoka kwenye mbususu upi ni kinyaa,?Na sijui kama hukumpiga deki akiwa mwezini.
Tofautisha akili ambazo unakuwa nazo wakati wa kusasambua mbususu na akili ambazo unakuwa nazo wakati wa kula chakula ni vitu viwili tofauti
 
Bonge
 

Attachments

  • 20220327_185117.png
    20220327_185117.png
    119.8 KB · Views: 25
Nitangulize angalizo, sio wote wasiozingatia usafi, naamini ni 6% ndo wanawaharibia wenzao!

Wachache wenu jitahidini kuwa wasafi bhana!

Wengine hatuna uwezo wa ku attend hotel za wahudumu model wanaovaa sare na vi note books mkononi!

Kule chapati ya 400 ni Tsh 1300

Chai ya maziwa ya 500, kule 1500

Tuhurumiane wapishi!

Asilimia kubwa ya mama lishe maji wanayooshea vyombo tangu asubuhi hadi usiku ni hayohayo na muda mwingine huongezeka wingi bila kujua yanatoka wapi, anaweza kuanza na lita 15 asubuhi ifikapo usiku ni lita 18
 
Asilimia kubwa ya mama lishe maji wanayooshea vyombo tangu asubuhi hadi usiku ni hayohayo na muda mwingine huongezeka wingi bila kujua yanatoka wapi, anaweza kuanza na lita 15 asubuhi ifikapo usiku ni lita 18
Mi nawaona wakisuuza suuza tu tena harakaharaka hata hawaoshi. Pia hawavifuti, vinawekewa chakula na majimaji.
 

Attachments

  • 70800893_2390661374335659_2579538468711432192_n.jpg
    70800893_2390661374335659_2579538468711432192_n.jpg
    45.4 KB · Views: 19
Nitangulize angalizo, sio wote wasiozingatia usafi, naamini ni 6% ndo wanawaharibia wenzao!

Ngoja niwape story. Nyakati za alfajiri nimemsindikiza bonge wangu kuelekea ubungo kwa wifi yake akae huko ili kesho kutwa aelekee Kibaha!

Wakati narejea nyumbani, muda ule nimeshuka kwenye daladala (wakuu mimi sina gari [emoji16]) nikaona bora nipate kifungua kinywa, maake kwangu gesi imekata! Nikaangaza chocho kwa chocho nikakutana na migahawa miwili imeungana, moja lina sister pic qal ndani na la pili lina mama mtu mzima, halafu juu ya kimeza chake kuna deli la maandazi [emoji39][emoji39]

Sijui ilikuwaje nikajikuta kwenye kimgahawa cha mwana mama kuyafuata yale maandazi pasi na kufikiria kuhusu utelezi kule kwa yule mwanadada [emoji848]

Nimeagiza zangu mindazi minne ya 150 150 na chai ya 200 pale, nikaanza kuibugia (wakuu, mi sina hela nyingi [emoji23][emoji23] mi mtanzania halisi na chembe chembe za uswazi, siku mkiskia eti nikapaki Range langu pale darajani, naomba replies za chai ziwe nyingi sana hadi nikimbie ID [emoji23])

Andazi la kwanza lilikuwa swadakta, yaliyofuata sasa ni matatizo, kama vile yananukia mafua! Moja kwa moja nikajisemea kimoyo moyo kuwa lazima tumbo liniume tu iwe isiwe, kwa hiyo nikaendelea kula huku nikiwaza box langu la frajil nimeliweka wapi?

Ghafla kitoto kinachotambaa kikatoka huko nje na mafua mengi yametapakaa uso mzima halafu michirizi (source) iliyokolea kutokea puani! Yule mwanamama alikuwa akisukuma nchapati [emoji16][emoji16] akamwita mwanae, akamsuuza lile fua na maji tiririka, halafu akasuuza mikono pasipo sabuni, akanitizama kama namwangalia, akajua simuoni, akaitupa mikono ndani ya kando la ngano ili kuchanganya mchanganyiko ule maridadi! Lilikuwa limebaki andazi moja nikaamua kuliacha pale, nikapita sokoni kununua ndimu 2 kwa ajili ya kukata kichefuchefu! Nimetembea barabara nzima kama mjamzito! Duh!

Wachache wenu jitahidini kuwa wasafi bhana!

Wengine hatuna uwezo wa ku attend hotel za wahudumu model wanaovaa sare na vi note books mkononi!

Kule chapati ya 400 ni Tsh 1300

Chai ya maziwa ya 500, kule 1500

Tuhurumiane wapishi!
Halafu wananiudhi wanaoweka chakula kwenye kontena za plastiki sivipendi.Isitoshe ukipita mgahawani muda wa mchana maji ya kuoshea vyombo machafu hata bata hanywi wala wao hawawezi kuoshea kwao tena wanatia sahani au kijiko wamekuletea chakula.Wito kwa watumishi wa afya wapite migahawani mchana.
 
Back
Top Bottom