Mama N'tilie kuweni wasafi, mnawaharibia wenzenu

Eewaaaa!
Kama hilo futo! Ndo maana nikasubiri usiku uingie ili nipeleke gheto! Assume ningepita nalo mchana kweupe, paparazi wangeninasa, hiyo picha ikaanza kutumiwa kutengenezea funny memes!
[emoji3][emoji3]
 
Eewaaaa!
Kama hilo futo! Ndo maana nikasubiri usiku uingie ili nipeleke gheto! Assume ningepita nalo mchana kweupe, paparazi wangeninasa, hiyo picha ikaanza kutumiwa kutengenezea funny memes!
[emoji3][emoji3]
Usikute huenda ni wewe na futo lako limekukalia baada ya kushindwa kulipa bill
 
Mimi niliacha kula migahawani baada ya kumkuta Mama wa mhagahawa anaoga bila sabuni nyuma ya mgahawa wake huku ikiwa ndani ya sufuria lile kubwa la wali alfajiri na mapema.

Kumbe yale maji ndio atapikia wali, mengine anachanganya kwenye mboga mboga,chai,n.k.
 
Duh! Na hapo si ajabu ana imani za kishirikina na hicho anachofanya ni maelekezo kutoka kwa mtu, sababu katika hali ya kawaida hiyo haiji hata kidogo.
 
Hapo shukuru tu hujadrive.
 
Duh! Na hapo si ajabu ana imani za kishirikina na hicho anachofanya ni maelekezo kutoka kwa mtu, sababu katika hali ya kawaida hiyo haiji hata kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtoto wa mama vitumbua mmoja aliwahi nambia kuwa mama yake huwa anashikia chupi vitumbua wakati wa kuweka vitumbua kwenye deri!

Hapo mtu unajikuta unaonja ute ute wa mbususu bila kupenda!
 
Mwingine aliwahi nisuuzia kijiko alichotoka kulia mtu mwenye kikohozi kwa maji bila sabuni! tena bila kukipikicha kwa vidole!
 
Kama wauza chips tu
Asilimia kubwa ya mama lishe maji wanayooshea vyombo tangu asubuhi hadi usiku ni hayohayo na muda mwingine huongezeka wingi bila kujua yanatoka wapi, anaweza kuanza na lita 15 asubuhi ifikapo usiku ni lita 18
 
Mwingine hapa kainamia jungu la supu jikoni wakati anasumbuliwa na mafua tiririka!

Ngoja niagize chai na chapati tatu tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…