A
Anonymous
Guest
Mimi ni mmoja wa wadau wa JamiiForums, kuna kitu nataka nishauri au kukemea kabisa. Kuna vitu hawa Mama Lishe au Mama Ntilie wanafanya siyo kabisa kwa afya ya Wateja wao kupitia vitafunwa wanavyoouza.
Nimeona hali hiyo maeneo tofauti Nchini, ni kama vile ni watu ambao wote wana staili ileile.
Unakuta Mama Ntilie ana vifungashio vya magazeti yaliyotumika, ukiangalia hilo gazeti limepita kwa watu wengi sana, hatuwezi kujua huyo aliyelisoma mikono yake alikuwa amenawa au la hakuta mtu ana vimelea vya magojwa mkononi na anashika hilo gazeti halafu Mama Ntilie anakuja kuchukua kwa vifungashio vya vitafunwa.
Anayeathirika ni mlaji wa mwisho (mteja) ndio maana magojwa ya tumbo n.k hayaishi.
Inakera kweli kweli
Naomba kuwasilisha
Nimeona hali hiyo maeneo tofauti Nchini, ni kama vile ni watu ambao wote wana staili ileile.
Unakuta Mama Ntilie ana vifungashio vya magazeti yaliyotumika, ukiangalia hilo gazeti limepita kwa watu wengi sana, hatuwezi kujua huyo aliyelisoma mikono yake alikuwa amenawa au la hakuta mtu ana vimelea vya magojwa mkononi na anashika hilo gazeti halafu Mama Ntilie anakuja kuchukua kwa vifungashio vya vitafunwa.
Anayeathirika ni mlaji wa mwisho (mteja) ndio maana magojwa ya tumbo n.k hayaishi.
Inakera kweli kweli
Naomba kuwasilisha