EMT Platinum Member Joined Jan 13, 2010 Posts 14,477 Reaction score 15,325 Nov 1, 2011 #1 Salamu za rambirambi kutoka kwa Mama Olive Kabila kuhusiana na "msiba wa gari la ndege ya shirika la kampani Ewabora". Ni salamu za rambirambi na masikitiko ya ajali lakini Kiswahili anachoongea mtu unajikuta unacheka. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Salamu za rambirambi kutoka kwa Mama Olive Kabila kuhusiana na "msiba wa gari la ndege ya shirika la kampani Ewabora". Ni salamu za rambirambi na masikitiko ya ajali lakini Kiswahili anachoongea mtu unajikuta unacheka.
MJINI CHAI JF-Expert Member Joined Dec 12, 2010 Posts 2,202 Reaction score 1,228 Nov 2, 2011 #2 Kiswahili kigumu...........hata waTZ wanaojifanya wenyewe hawakiwezi.......!!!!!
Gaijin JF-Expert Member Joined Aug 21, 2007 Posts 11,812 Reaction score 5,298 Nov 2, 2011 #3 Mie nakipenda sana Kiswahili cha watu wa goma. Maana kiswahili chao ni kile cha kizamani lazima ufurahi. "mwezi wa kenda" wanakwambia :]] "nina miaka makumi matano na mitano"
Mie nakipenda sana Kiswahili cha watu wa goma. Maana kiswahili chao ni kile cha kizamani lazima ufurahi. "mwezi wa kenda" wanakwambia :]] "nina miaka makumi matano na mitano"
Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,266 Reaction score 8,085 Nov 2, 2011 #4 Ameena!! mama wa kwanza DRC. Wa kwetu huhuzunika pale wachina na wawekezaji/wabangaizaji wengine wanapokufa na si watanzania wenzake
Ameena!! mama wa kwanza DRC. Wa kwetu huhuzunika pale wachina na wawekezaji/wabangaizaji wengine wanapokufa na si watanzania wenzake