Mama ongea na Mwanao Wamkana Wema Sepetu

Tumia ubongo kufikiria Wema ana umaarufu kwako,na hao wana umaarufu kwa wengine ndio maana wana maisha yao hawaishi kwa ajili Wema.Au Ni umaarufu UPI?unaomzungumzia Wa kutoa papuchi kwa Wema?
Unadhani kwanini yeye ni mmoja tu kahama CCM inatumia gharama kukusanya hao faru wengine.
Au tuseme wao ni wakweli lakini kwanini yeye ndio akapewa kazi ya kugawa hela.
Vitu vingine havitaki ghadhabu hebu gazeti liandike Uwoya na liandike Wema uone lipi linauzwa,
 
Wasanii waganga njaa tu hawa. Hawajijui hao, wote ni wasanii maslahi tu....hakuna kitu hapo,.
 
Naziangalia jezi, ndiyo washindwe kumkana mwenzao wa vidole viwili
 
Hahahahahahahahaha hivi Bongo movie bado ipo?
Wingi wao haumaanishi walichosema ndio sahihi.
Wanapoteza muda.
 
Wamesahau kusema hata kuja kukanusha hapo wamelipwa pia.
 
Ningeshangaa kama wangekaa kimya. Hayo majibu tuliyategemea.
Ngoja tusubiri Wolper naye aje aseme hakulipwa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wote wanaicheza ngoma ya Wema. Safi sana
 
Machadema bana! Kwa hiyo wakihamia chadema ndio watafika popote kama Leo mnavyomsifia teja Wema!! Ha ha ha ha ha
Bora huyo teja anayefahamika. Ogopa teja asiyefahamika halafu akuongoze.
 
Sijawahi kuona kuwa ushahidi au vielelezo vya malipo ni mkataba badala ya tax invoices au receipts au bank statements au cheque numbers au cheque books.
 
Watanzania tunateseka na kunyanyasika sababu ya kendekeza njaa, ina mbongo movie wote wanakinyenyekea chama hata ili waishi mjini,.# wake up stand up fight for your right
 
Batuli whom..?
Batuli sijui bakuli ndo nani kwani..
Nendeni mkaongee bs na wanenu pumbavu nyie
 
Ni jambo la kihuni na la fedheha kubwa kwa wasanii kujitokeza hadhari hasa hizi Bongo movie kuithibitishia umma wa Watanzania kwamba walilipwa pesa zao na mkataba wanao wa kufanyia kampeni CCM uchaguzi mkuu 2015.

Najaribu tu kuwaza mnakiri mlilipwa kufanya kampeni inashindikana nini kulipwa ili mje mseme mlilipwa lakini ni fedheha gani mnayoipaka serikali na rais Magufuli na chama chake kwamba walinunua watu ili wawapigie kampeni na kura, kumbe sio chaguo la Mungu tena ila chaguo la pesa????

Watch out si kila jambo la kutolea ufafanuzi huwezi ukatolea ufafanuzi ukiambiwa mamako alibakwa mpaka hasubuh alafu we unakanusha eti alibakwa masaa mawili tu badala useme hajabakwa mmnatia aibu.
 
Kumbe walikua kazini mimi nilijua ni wanachama wakereketwa wamesema walilipwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siasa si hasa bali ni visa na mikasa ukistaajabu ya daudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…