Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Great ThinkerKwel man, juz kati nilitaka nimfanyie kitu mtoto mzuri mmoja, ila nika take time nikawazaa hiv hii pesa kwan mimi siihitaji?
Nikaamua niingia town nikajioigia shopping zangu viwalo vya kutosha nituoie niwake maisha yaendelee, hawa mbung'o hawanaga shukrani!. Kisa??? Eti utelezi, aaah sio kweli...