Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
- Thread starter
-
- #181
Asante sanaSema ndio vikitumbukiaga nyongo duuh [emoji38][emoji38]
Utasema ni wale walikuwa wanaitana sweet, honey, baby n.k ?
Sasa imekuwaje jomoni?! [emoji3][emoji28]
Yaani hata kama mmejaliwa watoto wazuri na wenye akili Bora ni kazi bure [emoji108][emoji108]
Mwanaume utaonekana kama maviiii
Mwanamke ulizani wewe ni malkia kumbe wapiii [emoji1787][emoji1787]
Tujifunze tu namna bora ya kuhusiana na Mwanaume wako na nduguze.
Usiseme nimeolegwa na mmoja.
Swala la kujenga au kubomoa mahusiano limeachwa kwa mwanamke.
Hekima msingi wake ni subira na uvumilivu mkubwa.
Kipindi cha kusubiri na kuvumilia ni kipindi cha kujifunza na ku-apply kuamua mambo Kwa usahihi bila majuto .
Ngoja tuwaachie Dunia yenu na huyo mpenzi wako, yaani alishindwa kukupa walau Kijiji kimoja hadi akupe Dunia yote kweli ๐คชSiwezi kupunguza
Nimesema wapi ๐๐Kumbe kelele zote hizo unataka uwe umeandikiwa wewe๐๐
HujaniambiaGlenn eti kaka unajua?๐
๐ nina upendo wa kweli kweli kabisa, ila maokoto ndio sinaMwanamme gani unaogopa kuombwa hela๐ ๐ haipo karibu๐๐
Utasema alikuwepo wakati mnapendanaYani mbona atatokea mtu asimulie yote..๐๐ผ๐๐ผ
Anakulipa $ ngapi per day Huyo aliyekuzamisha?Jamani hamjambo?
Love is a beautiful thing.
Mama pretty nimezama penzini. Baby wangu upo humu. I love you so much๐๐๐
Umeua๐I love yoo too babe
Thanks for accepting me
Ntakufanya utabasamu kila siku na kila mala
Nakupenda โค๏ธ
By the way nkuletee nini? Ndio natoka hukuu
When spring come, I will marry youJamani hamjambo?
Love is a beautiful thing.
Mama pretty nimezama penzini. Baby wangu upo humu. I love you so much๐๐๐
Uongo bhana.Taswila ya tabasamu lako la asubuhi bado lipo kwenye mboni ya macho yangu
Nakuona hapa kila dakika
U mzuri kama mauwa ya kondeni mpenzi wangu๐๐
Umeua๐๐๐๐๐ป
Hiyo ni uwongoo๐๐Uongo bhana.
niliomba vya mwikoPole.. umenyimwaje sasa
Ndio mahabaNgoja tuwaachie Dunia yenu na huyo mpenzi wako, yaani alishindwa kukupa walau Kijiji kimoja hadi akupe Dunia yote kweli ๐คช
Si hapo eti kwanini isiwe weweNimesema wapi ๐๐
Eh kumbe๐ ntamuambia kijana akuambieHujaniambia
Basi utabaki na upendo wako๐ nina upendo wa kweli kweli kabisa, ila maokoto ndio sina
Watu wa jf kwa umbea๐๐ผUtasema alikuwepo wakati mnapendana