On spot.= You're / You are.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Njoo utegueπ πMtego, hakuna atakaetegua zaidi yangu
Raaav iz e biyuuurriiiful thiingπ πLove is a beautiful thingπ
Nani pipa na mfunikoLooh! Pipa na Mfuniko vimekutana
Pole.. huyoo hakuwa wako .. wewe ndio ulikutana na tapeliMapenzi ni utapeli. Ukishalijua hilo usijifie mbele za watu.
Kuna mwanamke km wewe alikuwa ananiambia ananipenda sana ila sasa aninichukia sana na kaniweka blacklist.
Km ulinipenda kwanini unichukie?
Unanikumbusha ndoa ya Dullah makabila na Zai
Haya sasa una kesi ya kujibu, Wamejitokeza wengi, Ni yupi sasa?Mama pretty nimezama penzini.. baby wangu upo humu .. I love you so muchπππ
Yani nimefichwa mpaka sioniumezamishwa ndani ndani ndani ndani zaidi ya penzi, right?
Yes honey I'm hereJamani hamjambo?
Love is a beautiful thing
Mama pretty nimezama penzini.. baby wangu upo humu .. I love you so muchπππ
Naona umeamua kushusha na verse ya kwenye bible kabisa "wimbo ulio bora"ππTaswila ya tabasamu lako la asubuhi bado lipo kwenye mboni ya macho yangu
Nakuona hapa kila dakika
U mzuri kama mauwa ya kondeni mpenzi wanguππ
Inashangazaπ€£π€£mambo ya kuanikana siyapendi. hadi kila mtu ajue kama nna lishangazi.
Is a beautiful thingLove?
Nimesha kucheki PM...πJamani hamjambo?
Love is a beautiful thing
Mama pretty nimezama penzini.. baby wangu upo humu .. I love you so muchπππ
Kwani si anaingia mmoja mmoja..Kazana kazana ...
Unaweza ku handle wote huko kwa bibi?
Tafuteni pa kwendaπ πKwahiyo Mama pretty huyo Mpenzi wako alikosa kabisa zawadi nyingine ya kukupa hadi ameamua akupe zawadi ya Dunia alafu sisi twende wapi π€ͺ(joking)
Love is a beautiful thing π€
Kila la kheri Mkuu
ππKila la kheri kwenu π€
Pole mamaπππmibaba mizima imejitoa ufaham halaf ukute ina watoto wanajua baba yao anafanya madili ya maana kumbe linavamia thread kwa comment za kijinga
Hongera sanaKwani si anaingia mmoja mmoja..
Kwanini sasa?Futa kichwa cha uzi uandike "jamanii eeh upweke utaniua"