Mama Pretty nimezama penzini

Mapenzi ni utapeli. Ukishalijua hilo usijifie mbele za watu.
Kuna mwanamke km wewe alikuwa ananiambia ananipenda sana ila sasa aninichukia sana na kaniweka blacklist.
Km ulinipenda kwanini unichukie?
Unanikumbusha ndoa ya Dullah makabila na Zai
Pole.. huyoo hakuwa wako .. wewe ndio ulikutana na tapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…