Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
- Thread starter
- #221
Ulikua unataka kumfanya nini dada wa watunn tena😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikua unataka kumfanya nini dada wa watunn tena😂
Au sio😂😂Jf bwana SI ajabu ukakuta hili ni dume.
Mwambie huyo😂😂😂 eti jomba mwenye ndevu😂😂Kwahiyo unamaanisha Mama pretty ni mjomba flani hivi mwenye ndevu na sauti nzito?🤣
Mrembo huyo aiseeh,atakunyima ile kitu ... 🤣
Haina hajaUtakuwa mkweli ukitumia na uthibitisho wa miamara.
Kuna mdada mmoja wa kichaga anaitwa Mbuta aliwahi kututumia uthibitisho wa miamara aliyokuwa anamtumia yule chalii wa kusukusu aliyekuzamisha.
So kuwa mkweli kama Mbuta.
Jichanganye😂Hakuna namna, ngoja niuze tu mali ya urisi, najua kuna shepu ya kuvunja chaga hapa
Hongera sana ila kuwa makini piaJamani hamjambo?
Love is a beautiful thing.
Mama pretty nimezama penzini. Baby wangu upo humu. I love you so much😘😘😘
Usajili ni kimya kimyaKupanga ni kuchagua tuko live tunasubiri usajili utakuwaje
Humu unaaeza sutwa mpaka ukomeWatasutwa😁
Yakiwa private yatadumu tu mbona publicity inawa cost wengiMtagi tu.. hongera zako..
Kuna couples zimepita humu tukizijua.. wengi chali now na wengine IDs walibadili
Nilitaka kuzama chumvini akasema kwake ni mwiko😂Ulikua unataka kumfanya nini dada wa watu
Asante my love😘😘 atapita humu ataona😅😅Shogareee akee, hongeraa kwa kuwa penzini,
Nawaombea kheri na baraka, pia mfike mbali zaidi.
[emoji178][emoji178][emoji178], Mpe hi shemelaa.
Tuombeane kheri jamani😂Yakikukuta pia utuletee mrejesho humuhumu
Akitoa mwenyewe hakuna shida.. mie ndio daktari wakekuelekea mwisho wa mwaka huu kuna mtu atavunjwa bega kwa vizinga
Asante, nipo makiniHongera sana ila kuwa makini pia
Hivi wewe ndo Demis ama mwingine tusijekuwa mwana jf pendwa kafariki hatujuiLove is a beautiful thing[emoji177]
Tupo private hivi hivi ..Yakiwa private yatadumu tu mbona publicity inawa cost wengi
Anakosa utam😂Nilitaka kuzama chumvini akasema kwake ni mwiko😂
Yakiwa private yatadumu tu mbona publicity inawa cost wengi
nitajaribu niombe siku ingine nichimbe mgodi na kwa hili sito kata tamaa abadani😅Anakosa utam😂
Ipo ya namna gani?Jichanganye😂