Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Hivi huyu Salma au Salima anahusika vipi kwenye kupiga kampeni? Je, ni kiongozi wa UWT? Je, gharama anazotumia zinatakiwa kujumuishwa kwenye zile za mgombea urais wa CCM? Hivi ni kwa nini anaonekana kukamia mumewe ashinde tena urais hata kuwataka UWT wapige kampeni za shuka kwa shuka? Hivi ana uchungu kweli na watanzania wote au yeye na wanawe tu?
Source: Habarileo (1/9/10)
Source: Habarileo (1/9/10)